Utapigwaa makofi na mangumu[emoji12]
jamii pekee ya wanaume iliyobaki duniani ni wasukuma, wakurya, wanyantuzu, wasumbwa.... (kanda ya ziwa) wengine tusameheane kwa sasa
Hahahah,haya bana
Alishakukubali relaxNikubali basi cutelove nitakupenda daima.
Huyo ni mtani na jirani yako, haina shida ila mama mkwe wako anaweza kukwambia ukeketwe sasa wakati we umezoea kurusha maji.Nyambo
Kumbee[emoji849]sio wewe ndo trouble makerUsimuite huyo nawewe vipi.
Alinisaliti nimempiga chini...