jambo1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2009
- 241
- 29
Salaam,
Wakuu hii taasisi ya NACTE nayo ni moja kati ya majanga ya kitaifa katika elinu yetu..Hawa jamaa wanachangia sana kuua elimu tanzania..ukitaka kuamini hili Waulize NACTE namna mitaala ya vyuo vilivyo chini yake unaandaliwa vipi? pia waulize je mitaala ya vyuo inafanana..maana kila chuo kina mitaala yake yaan bora liende..?Alaf juz hapa wamekuja na staili mpya eti kila mwanafunzi kwenye hivyo vyuo vyao atoe 15000 kwa ajili ya utunzaji wa Database mbaya zaidi wanachukua mpaka kwenye vyuo ambavyo havina usajiri wa kudumu,yaan nchi kila mtu na lwake..
Wakuu hii taasisi ya NACTE nayo ni moja kati ya majanga ya kitaifa katika elinu yetu..Hawa jamaa wanachangia sana kuua elimu tanzania..ukitaka kuamini hili Waulize NACTE namna mitaala ya vyuo vilivyo chini yake unaandaliwa vipi? pia waulize je mitaala ya vyuo inafanana..maana kila chuo kina mitaala yake yaan bora liende..?Alaf juz hapa wamekuja na staili mpya eti kila mwanafunzi kwenye hivyo vyuo vyao atoe 15000 kwa ajili ya utunzaji wa Database mbaya zaidi wanachukua mpaka kwenye vyuo ambavyo havina usajiri wa kudumu,yaan nchi kila mtu na lwake..