Kwa madudu haya ya TCU &NACTE viongozi wake wa juu wanapaswa kujihudhuru, Maana wameshidwa kuzitetea taaluma zao na ufanisi wao kwa jukumu walilopewa.
Matokeo yake wanakuja kusababisha usumbufu kwa waombaji. mfano walikua wapi kukifungia chuo cha IMTU mapema ili waombaji wasisumbuke nacho na je, kwa wale ambao post zao zilikua allocated IMTU wanawapeleka wapi
Nikweli jamani sio uongo
MPAKA LINI TCU/NACTE???????????
fikra zimegubikwa na wingi wa mawazo na dukuduku!
Nani wakuyaweka mambo wazi?
TCU?-KIMYA!
NACTE?-NDO USISEME!]
!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Sema wew sandraeli niyawazibia matokeo wote hao
watu tunakesha kwenye mtandao tukisubil watoe majina tangu tr 22 hadi sasa 25% ya vyuo ndo wametoa vyuo ndo vinafunguliwa mwz wa kumi na heslb bado hadi nais kuchanganyikiwa ankra ni shida