NACTE kutoa majina kuanzia kesho

Hata mim ni muhanga wa hilo,chuo nilichoapplya cha kwanza kimetoa majina cha ajabu program niliyoapply haipo na hata majina hayapo.

Nawapigia simu chuon wanipe japo ufafanunuz tu hawapokei!, daaah ngoja niendelee kuvuta subira.
 
Mtachaguliwa Udsm mbn wapo diploma kibao wamechaguliwa ila kwenye coz za engineering
 

diploma baadhi yametoka pamoja na hawa fresher kuna majina 8 ya uhasibu Arusha nimewaangalizia jamaa wamepata pale na walijaza kupitia nacte. afu ata udsm wapo wengi sana kwenye hiyo list iliyopo
 
diploma baadhi yametoka pamoja na hawa fresher kuna majina 8 ya uhasibu arusha nimewaangalizia jamaa wamepata pale na walijaza kupitia nacte. Afu ata udsm wapo wengi sana kwenye hiyo list iliyopo

asante ndugu kwa kunidhibitishia hilo kwa hiyo jibu la moja kwa moja imekula kwao? Au?
 
subiri vitu vinakuja wewe huna haya ya kusaka kwenye mitandao ya vyuo NACTE wataweka kwenye profile yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…