Kwa wale ambao wanataka kutuma maombi ya kujiunga na elimu ya juu,leo ndo mwisho kusabumiti form zao,ambao watakuwa 3rd round selection,Pia ambao wanauwezo wa kuchange course au programe maana nili chati na NACTE,niliwauliza kuhusu kuchange course waka sema hivi wanarusiwa wale tu ambao 3rd round selection