SOSTENESS J.N
Member
- Feb 13, 2013
- 83
- 19
jishaueni wenyewe basi msio na plesha,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nacte sasa inafunguka ila wameandika kaujumbe pale nahisi kunakakitu kanafuata leo
achane presha kama vigezo vya kupangiwa chuo unavyo utapangiwa 2 acheni kupata presha kutoka kwa madogo wa six coz wao chuo ndio mara ya kwanza.sasa nashangaa na nyinyi mnapata presha au ndio mara yenu ya kwanza kwenda chuo?
Mkuu hata wa Diploma kuna ma-form 6, hawa wote wenye pressure ni design hiyo ndo maana wana pressure!
Kuna watanzania wanajifunza siasa humu,hisia za m2 ziheshimuni maana wanajiona wao ndo hawana plesha kabisa,watu tunategemea kujisomesha ni muhimu m2 ukajua ni wapi unaenda ili ujipange,nyie kula kulala mnanyanyua pua,WANAPLESHAAA''MAKALIO YENU
Mkuu acha matusi au diploma yako umejifunza matusi.....unaonyesha jinsi gani ata ujiamini na unayofanya.acha kukariri watu mimi sio kula kulala kama akili yako ndogo ilivyokutuma ata nikikwambia elimu yangu utajishitukia....badilika nenda chuo kasoma kijana
Madogo acheni kutemeana mbovu basi?! Ila ukweli hivi vijamaa vina pressure ile mbaya ukute hata matokeo ya vyenyewe ni pass ndo maana pressure iko juu, wenye dist zao wako kiiimyaaa!! Eti siyo pressure tunataka kujua tumepangwa wapi!!
sure,kweli bro nimekaona kaujumbe ila kakiuni sana japo profile linafunguka,kaujumbe kanasema the system currenty closed,chek your selection status,ila kwenye selection pako kawaida,
Achana na mimi kijana,pasi ya kwangu,kaelimu kangu kadogo na ndo maana ninausongo nikakapandishe ili nikakamate ofisi kwa uhuru,mi sisomei kazi mdogo wangu naenda kusome nafasi za juu,we unaleta leta dhalau humu,ila sory kijana nime2mia lejesta ya mtaani hyo nilitumia sana wakati napiga debe sory sana,MI NINAHAMU MAANA B.OF VETERNARY MEDICINE-SUA NIMEIMISI SANA NDO MAANA NATAKA KUJUA FASTA FASTA
Achana na mimi kijana,pasi ya kwangu,kaelimu kangu kadogo na ndo maana ninausongo nikakapandishe ili nikakamate ofisi kwa uhuru,mi sisomei kazi mdogo wangu naenda kusome nafasi za juu,we unaleta leta dhalau humu,ila sory kijana nime2mia lejesta ya mtaani hyo nilitumia sana wakati napiga debe sory sana,MI NINAHAMU MAANA B.OF VETERNARY MEDICINE-SUA NIMEIMISI SANA NDO MAANA NATAKA KUJUA FASTA FASTA