NACTE na bodi ya mikopo

adeni kyomo

Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
34
Reaction score
7
Ivi kweli tulio kosa vyuo na wakatuambia tu applay upya si ndo mkopo basi tena au mnaniambiaje mana majina yatakuwa yamepelekwa tayari bodi ya mikopo
 
Ukibahatika kuandikiwa eligible usijaribu kureset maana hata chuo ambacho ungepita hukikuti.....sababu watakuambia ulipo reset wenzako wamekiwahi.
 
Account ipi jmn maan nakuwa km celew waungwana plz msaada wenu
 
Ukibahatika kuandikiwa
eligible usijaribu kureset maana hata chuo ambacho ungepita
hukikuti.....sababu watakuambia ulipo reset wenzako wamekiwahi.

nimeandikiwa eligible MUST, mpaka sahv naogopa kureset na sielewi nifanyeje, na hzo eligible zitaondoka lini ziwe selected?? presha tupu wadau
 
Vumilia tu.....usithubutu kufuta, hapo unaweza kuchaguliwa hapo! Yakitokea mabadiliko yoyote usiyo yaelewa bora uwafuate kama changes ukafanyie huko!!!!
 
Vumilia tu.....usithubutu kufuta, hapo unaweza kuchaguliwa hapo! Yakitokea mabadiliko yoyote usiyo yaelewa bora uwafuate kama changes ukafanyie huko!!!!

Mimi nilikuwa nimeandikiwa selected but not confirmed lakin kwa sasa nimekuta confirmed mzumbe universty bachelor of health services management
 
Vumilia tu.....usithubutu
kufuta, hapo unaweza kuchaguliwa hapo! Yakitokea mabadiliko yoyote usiyo
yaelewa bora uwafuate kama changes ukafanyie huko!!!!

kweli mkuu mm kesho saa 3:00 asubuhi nitakuwa ofcn kwao mikocheni pale
 
kweli mkuu mm kesho saa 3:00 asubuhi nitakuwa ofcn kwao mikocheni pale

Hamna haja ya kuwafuata maelekezo yote yako hapo mbona kama inaonesha eligible na capacity 0 chini yake kuna maelezo ya nini cha kufanya reset uchague upya unavyojichelewesha ndio chance ya kupata nayo inapoteo. kule utaenda uza sura tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…