Jamani me nashndwa kuelewa ! Hvi ukiambiwa, your admission is succefuly , utakua umepata chuo au? Je km jina lako halikuonekana 2nd round na 3rd inakuaje hapa. Tjulishane wakuu mana wengne tmebakiza 1 choice tu! St johns.
Website ya nacte wanaweka mzigo wenu maana hata sasa haifunguki
ishu ni pale unapokuwa umebakiwa na vyuo viwili katika selection yako ..kamoyo kanadunda.!
Yani mi nakosa raha kabisa rait wangejua ninavyojisikia wasingetufanyia hv. Yan sis tumeappy tangu mwez 5 lakn wezetu wa form 6 wamepata majibu ambao wamechelewa kuapply. Na siye tupo wachache wanashindwaje kutuhendo
Haya jamani na mzumbe washatoa na watu wa equivalent wapo
Haya jamani na mzumbe washatoa na watu wa equivalent wapo
vp N.I.T???
dah mie nimekosa kote bdo nangoja N.I.T ambako ndo nlifanya chaguo la kwanza na la pili...nikikosa na hapo ndo bas nachoma mkaa nymbn mie
Usikate tamaa mkuu... Utapata