beneli
Member
- May 1, 2013
- 86
- 7
- Thread starter
- #21
Jamani me nashndwa kuelewa ! Hvi ukiambiwa, your admission is succefuly , utakua umepata chuo au? Je km jina lako halikuonekana 2nd round na 3rd inakuaje hapa. Tjulishane wakuu mana wengne tmebakiza 1 choice tu! St johns.
kama haupo kwenye list ya waliokosa maana yake upo kwenye waliopata, kwa mujibu wao.