jones justace
Member
- Aug 25, 2014
- 22
- 0
Labda nyie wa vyuo vingine, sisi wa SUA tumeshajua wote tulioomba kupitia NACTE ndo maana nasema hakuna haja ya kuhangaika na NACTE bali unaenda moja kwa moja kwenye website ya chuo ulichokuwa umeomba. Kama wametoa utalikuta huko hata kama NACTE hawajatoa majina!! Wewe ndo unapotosha kusema 95% ya waombaji hawajachaguliwa!!
mkuu niangalizie sua jina jones A justace