NACTE waitwika zigo TCU

NACTE waitwika zigo TCU

nacte wameandika
```Kuna malalamiko mengi kuhusu matokeo ya admission na inaonekana mengi yanasababishwa na wengi kutofahamu utaratibu.

Kwa ufupi, matokeo ya uchaguzi wa Shahada hutolewa na TCU pekeyake. Mfumo huu wa NACTE umeunganishwa na mfumo wa CAS wa TCU utakaotoa majina hayo.
Kabla ya TCU kuyatoa majina hayo, ni lazima kwanza yapite JAC ambayo imefanyika jana. JAC ina jukumu la kuhakikisha hakuna aliyepangiwa chuo zaidi ya kimoja na pia waliochaguliwa wamekidhi viwango.
Majina hayo yalishapelekwa vyuoni wiki iliyopita ili vyuo viyapitie na kuyakubali kabla ya kupita JAC. Hivyo ni kweli vyuo tayari vina majina hayo lakini kiutaratibu havitakiwi kuyatangaza hadi itakapohakikishwa kuwa multiple selections zimeondolewa.
Mara baada ya hapo TCU itaruhusu profiles zenu kuonyesha mlikochaguliwa na vyuo kutangaza.

Mnapaswa kufahamu kuwa vyuo vina mamlaka ya kukataa kupokea baadhi ya wanafunzi kwa sababu mbalimbali.```

source: fb pg y nacte
 
Sawa Mkuu,tumekupata still the Qstn remain when are they going to display the names.Please find out for us if you don't mind cause this is our current fever.
 
na itakuaje endapo tcu watakuchagua halafu chuo kikakutema mkuu?
 
Actually ndio kilichopo kuna watu wametemwa wanawafanyia mpango kwenye choice zingene ulizofanya au watoe hivyo hivyo ???!
 
KUNA TAARIFA fake NA ZISIZO fake. NAKUHAKIKISHIA KUWA HII TAARIFA NI HALISI PAMOJA NA KWAMBA CHANZO CHA TAARIFA NI UKURASA WA FACEBOOK.

KUMBUKA TAARIFA ZOTE ZOTOLEWAZO FB SIYO UZUAHI KAMA UZANIAVYO.

ni kweli kwamba kuna taarifa ambazo ni za uhakika ambazo zinapatikana fb, ila zipo ambazo ni feki. Kumbuka ile page feki ya NECTA iliyotoa taarifa feki kuhusu siku ya kutangazwa kwa matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012. Baadae NECTA wenyewe wakajibu kupitia vyombo makini vya habari, kua ile taarifa haikutoka kwao. Taarifa kuhusu TCU na NACTE hupitia website zao kwa kushirikiana na vyombo makin vya habari kama radio na Tv!
 
ni kweli kwamba kuna taarifa ambazo ni za uhakika ambazo zinapatikana fb, ila zipo ambazo ni feki. Kumbuka ile page feki ya NECTA iliyotoa taarifa feki kuhusu siku ya kutangazwa kwa matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012. Baadae NECTA wenyewe wakajibu kupitia vyombo makini vya habari, kua ile taarifa haikutoka kwao. Taarifa kuhusu TCU na NACTE hupitia website zao kwa kushirikiana na vyombo makin vya habari kama radio na Tv!

KWA hiyo MPAKA SASA BADO UJAAMINI KUWA NACTE WAMETOA TAARIFA TENA AMBAYO NI SAHIHI KWA KUPITIA FB.
 
matangazo yote haya ya nn?
wao waachie kitu haraka

nasikia eti tcu wametoa majina zaidi ya 50000 waliochaguliwa kujiunga vyuo vikuu ajabu ni kwamba web page yao haifunguki na ni kweli wameshaachia au ni maneno tu? na kama wameshaachia link gani nitumie ili na mm nione
 
Hii ni jana mida ya saa tano asubaa VIA fb, tusubiri!!



National Council for Technical Education (NACTE)

Yesterday · Edited


Kuna malalamiko mengi kuhusu matokeo ya admission na inaonekana mengi yanasababishwa na wengi kutofahamu utaratibu.

Kwa ufupi, matokeo ya uchaguzi wa Shahada hutolewa na TCU pekeyake. Mfumo huu wa NACTE umeunganishwa na mfumo wa CAS wa TCU utakaotoa majina hayo.

Kabla ya TCU kuyatoa majina hayo, ni lazima kwanza yapite JAC ambayo imefanyika jana. JAC ina jukumu la kuhakikisha hakuna aliyepangiwa chuo zaidi ya kimoja na pia waliochaguliwa wamekidhi viwango.

Majina hayo yalishapelekwa vyuoni wiki iliyopita ili vyuo viyapitie na kuyakubali kabla ya kupita JAC. Hivyo ni kweli vyuo tayari vina majina hayo lakini kiutaratibu havitakiwi kuyatangaza hadi itakapohakikishwa kuwa multiple selections zimeondolewa.

Mara baada ya hapo TCU itaruhusu profiles zenu kuonyesha mlikochaguliwa na vyuo kutangaza.

Mnapaswa kufahamu kuwa vyuo vina mamlaka ya kukataa kupokea baadhi ya wanafunzi kwa sababu mbalimbali.

 
Mnataka kuwaliza tu watoto wa wenzenu sasa jina lishafika chuoni na ulishawaarifu kuwa wamechaguliwa wakuchumbiwa kwa kigezo walishachumbiwa halafu mtu akatae si taabu jamani
 
Back
Top Bottom