Yap?wamekwisha toa selection but ni vyuo vya afya tu ndo wametoa na kwa yule ambae amechaguliwa anakuta pameandikwa chuo chake alichochaguliwa na kwa wale ambao hawakuchaguliwa hawakuti mabadiriko yoyote yale mkuu.
Msidanganyane saana,selection iliyotolewa ni kwaajir ya wale wanao kwenda kufundishwa masomo ya math&sayans katika ngaz ya stashada tu kwene chuo cha monduli,but ngaz ya chet wik ijayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.