Habari zenu wana jamvi.
Mimi ni mwanafunzi nime maliza diploma mwaka huu 2014 name nina nia ya kuendelea na masomo yangu na matokeo ya chuo nilicho maliza yako NACTE tayari ila kila nikifatilia huko NACTE naambiwa leo kesho kila siku wana tudanganya wataweka matokeo tumalizie application na mpaka sasa zimebaki siku 11 bado hatuja maliza application.
Naombeni ushauri nifanyaje kila siku nacte wanatudanganya muda nao unaenda na tumeshalipia.
Mimi ni mwanafunzi nime maliza diploma mwaka huu 2014 name nina nia ya kuendelea na masomo yangu na matokeo ya chuo nilicho maliza yako NACTE tayari ila kila nikifatilia huko NACTE naambiwa leo kesho kila siku wana tudanganya wataweka matokeo tumalizie application na mpaka sasa zimebaki siku 11 bado hatuja maliza application.
Naombeni ushauri nifanyaje kila siku nacte wanatudanganya muda nao unaenda na tumeshalipia.