DOKEZO NACTVET wanafelisha wanafunzi wa Clinical Officer makusudi, mamlaka husika naomba iliangalie

DOKEZO NACTVET wanafelisha wanafunzi wa Clinical Officer makusudi, mamlaka husika naomba iliangalie

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Hello habari,

Malalamiko yamekuwa mengi kwa wanafunzi wa clinical officer kwa vyuo vingi hapa Tanzania, wanafunzi wanafelishwa makusudi, vyuo vingi wanaopata pass hata robo ya darasa hawafiki, wanaopata sup wakienda kuzifanya wanafelishwa tena na wanapata Repeating Modules hivyo inawalazimu kurudia mwaka. Na wanaopata repeating module wakija kuzifanya tena wanafelishwa (Discontinue)

Naomba mamlaka husika ilifanyie uchunguzi hili kwani malalamiko yamekuwa mengi sana. Inasikitisha kuona chuo x wanafunzi waliofaulu kwa kupata pass ni wanne tu huku wengine wote wakipata sup, repeating modules na disco.

Matokeo yametoka sio muda na ni kilio tu kwa wanafunzi na wazazi. Kama number ya wanafunzi inahitajika sio kubwa ni bora waanze kucontrol kuanzia kwenye admission.

Tunarudishana nyuma sana jamani.
 
Hello habari,

Malalamiko yamekuwa mengi kwa wanafunzi wa clinical officer kwa vyuo vingi hapa Tanzania, wanafunzi wanafelishwa makusudi, vyuo vingi wanaopata pass hata robo ya darasa hawafiki, wanaopata sup wakienda kuzifanya wanafelishwa tena na wanapata Repeating Modules hivyo inawalazimu kurudia mwaka. Na wanaopata repeating module wakija kuzifanya tena wanafelishwa (Discontinue)

Naomba mamlaka husika ilifanyie uchunguzi hili kwani malalamiko yamekuwa mengi sana. Inasikitisha kuona chuo x wanafunzi waliofaulu kwa kupata pass ni wanne tu huku wengine wote wakipata sup, repeating modules na disco.

Matokeo yametoka sio muda na ni kilio tu kwa wanafunzi na wazazi. Kama number ya wanafunzi inahitajika sio kubwa ni bora waanze kucontrol kuanzia kwenye admission.

Tunarudishana nyuma sana jamani.
Jipange upya ushafeli... Tatizo watoto wa siku hizi hamtaki kusoma kabisa
 
Hello habari,

Malalamiko yamekuwa mengi kwa wanafunzi wa clinical officer kwa vyuo vingi hapa Tanzania, wanafunzi wanafelishwa makusudi, vyuo vingi wanaopata pass hata robo ya darasa hawafiki, wanaopata sup wakienda kuzifanya wanafelishwa tena na wanapata Repeating Modules hivyo inawalazimu kurudia mwaka. Na wanaopata repeating module wakija kuzifanya tena wanafelishwa (Discontinue)

Naomba mamlaka husika ilifanyie uchunguzi hili kwani malalamiko yamekuwa mengi sana. Inasikitisha kuona chuo x wanafunzi waliofaulu kwa kupata pass ni wanne tu huku wengine wote wakipata sup, repeating modules na disco.

Matokeo yametoka sio muda na ni kilio tu kwa wanafunzi na wazazi. Kama number ya wanafunzi inahitajika sio kubwa ni bora waanze kucontrol kuanzia kwenye admission.

Tunarudishana nyuma sana jamani.
Mitihani ni ya Wizara ya Afya si ya NACTVET. Badilisha kichwa cha habari
 
Hello habari,

Malalamiko yamekuwa mengi kwa wanafunzi wa clinical officer kwa vyuo vingi hapa Tanzania, wanafunzi wanafelishwa makusudi, vyuo vingi wanaopata pass hata robo ya darasa hawafiki, wanaopata sup wakienda kuzifanya wanafelishwa tena na wanapata Repeating Modules hivyo inawalazimu kurudia mwaka. Na wanaopata repeating module wakija kuzifanya tena wanafelishwa (Discontinue)

Naomba mamlaka husika ilifanyie uchunguzi hili kwani malalamiko yamekuwa mengi sana. Inasikitisha kuona chuo x wanafunzi waliofaulu kwa kupata pass ni wanne tu huku wengine wote wakipata sup, repeating modules na disco.

Matokeo yametoka sio muda na ni kilio tu kwa wanafunzi na wazazi. Kama number ya wanafunzi inahitajika sio kubwa ni bora waanze kucontrol kuanzia kwenye admission.

Tunarudishana nyuma sana jamani.
Vijana someni acheni uvivu. Mtu akufelishe kwa faida gani anayoipata. Yaani hii mitandao inawafanya muwe wazembe sana. Mnajuanmkijankupiga kelele mtaonewa huruma na wasaka tonge wanaolea ujinga kwa maslahi yao. Afya ya binadamu haina siasa someni
 
Hello habari,

Malalamiko yamekuwa mengi kwa wanafunzi wa clinical officer kwa vyuo vingi hapa Tanzania, wanafunzi wanafelishwa makusudi, vyuo vingi wanaopata pass hata robo ya darasa hawafiki, wanaopata sup wakienda kuzifanya wanafelishwa tena na wanapata Repeating Modules hivyo inawalazimu kurudia mwaka. Na wanaopata repeating module wakija kuzifanya tena wanafelishwa (Discontinue)

Naomba mamlaka husika ilifanyie uchunguzi hili kwani malalamiko yamekuwa mengi sana. Inasikitisha kuona chuo x wanafunzi waliofaulu kwa kupata pass ni wanne tu huku wengine wote wakipata sup, repeating modules na disco.

Matokeo yametoka sio muda na ni kilio tu kwa wanafunzi na wazazi. Kama number ya wanafunzi inahitajika sio kubwa ni bora waanze kucontrol kuanzia kwenye admission.

Tunarudishana nyuma sana jamani.
Je, NACTVET imewafelisha wanafunzi makusudi au ni kweli kwamba wanafunzi hao wamefeli mitihani yao kwa kuwa ni mambumbumbu?
 
Kiuhalisia hakuna anaefelishwa ukifatilia hao wanaofeli kwanza Kuna kundi la wanafunzi wa vyuo BINAFSI ambao vyuo vyao vingi havina tutor wa kutosha wanafunzi wapo wengi chuo hakina hostels wanafunzi huzurura mtaani wengine wameoana wengine hawahudhurii chuoni kwenye vipindi vyuo havina hospital vyuo mitihani ya ndani wanavujisha..... kiuhalisia kwenye Hilo kundi Kuna watu wamefaulu jiulize wamefaulu vipi vyuo vya kati vya afya ni changamoto mnoooooooooooo ni jipu Kuna chuo admission ya clinical officer ni 400 imagine
 
  • Thanks
Reactions: a45
Hello habari,

Malalamiko yamekuwa mengi kwa wanafunzi wa clinical officer kwa vyuo vingi hapa Tanzania, wanafunzi wanafelishwa makusudi, vyuo vingi wanaopata pass hata robo ya darasa hawafiki, wanaopata sup wakienda kuzifanya wanafelishwa tena na wanapata Repeating Modules hivyo inawalazimu kurudia mwaka. Na wanaopata repeating module wakija kuzifanya tena wanafelishwa (Discontinue)

Naomba mamlaka husika ilifanyie uchunguzi hili kwani malalamiko yamekuwa mengi sana. Inasikitisha kuona chuo x wanafunzi waliofaulu kwa kupata pass ni wanne tu huku wengine wote wakipata sup, repeating modules na disco.

Matokeo yametoka sio muda na ni kilio tu kwa wanafunzi na wazazi. Kama number ya wanafunzi inahitajika sio kubwa ni bora waanze kucontrol kuanzia kwenye admission.

Tunarudishana nyuma sana jamani.
Unaenda kusoma Clinical officer, una pass za form four D 2, Kwa nini usifeli..... Eti daktari mtarajiwa wa TAMISEMI 🥴🥴🥴
 
Hello habari,

Malalamiko yamekuwa mengi kwa wanafunzi wa clinical officer kwa vyuo vingi hapa Tanzania, wanafunzi wanafelishwa makusudi, vyuo vingi wanaopata pass hata robo ya darasa hawafiki, wanaopata sup wakienda kuzifanya wanafelishwa tena na wanapata Repeating Modules hivyo inawalazimu kurudia mwaka. Na wanaopata repeating module wakija kuzifanya tena wanafelishwa (Discontinue)

Naomba mamlaka husika ilifanyie uchunguzi hili kwani malalamiko yamekuwa mengi sana. Inasikitisha kuona chuo x wanafunzi waliofaulu kwa kupata pass ni wanne tu huku wengine wote wakipata sup, repeating modules na disco.

Matokeo yametoka sio muda na ni kilio tu kwa wanafunzi na wazazi. Kama number ya wanafunzi inahitajika sio kubwa ni bora waanze kucontrol kuanzia kwenye admission.

Tunarudishana nyuma sana jamani.
Tuseme ukweli system ya elimu iliyumba kuanzia 2012 kuja miaka hii watu mnafaulu Kwa standardization halafu mnataka mkienda college au universities mtoboe haiwezekani


Wengi wa kuanzia mwaka niliotaja wamepewa majibu na walimu au WASIMAMIZI wa mitihani halafu tutegemee watu hao wakisimamiwa vyema kwenye vyuo huko watoboe haiwezekani

Wengi Wana join colleges and universities wakiwa na sub standard marks halafu tunajiuliza kwanini wanafeli


Ukweli kabisa kama mmefeli uwezo wenu ni duni hakuna namna


Okay tuseme wamekufelisha, Kwa manufaa ya nani ?
Kwanini wakufelishe


Kwanini hujawaza kwamba wewe ndo una uwezo mdogo unakimbilia wamekufelisha

Anyways chuo Kuna utaratibu wa kuomba usahihishiwe upya ukiwa unahisi ujarizika na usahihishaji unaweza ukafata huo utaratibu
 
Unaenda kusoma Clinical officer, una pass za form four D 2, Kwa nini usifeli..... Eti daktari mtarajiwa wa TAMISEMI 🥴🥴🥴
Yaani tuwakabidhi afya zetu watu wamepata marks za standardization 😂😂😂
 
Kiuhalisia hakuna anaefelishwa ukifatilia hao wanaofeli kwanza Kuna kundi la wanafunzi wa vyuo BINAFSI ambao vyuo vyao vingi havina tutor wa kutosha wanafunzi wapo wengi chuo hakina hostels wanafunzi huzurura mtaani wengine wameoana wengine hawahudhurii chuoni kwenye vipindi vyuo havina hospital vyuo mitihani ya ndani wanavujisha..... kiuhalisia kwenye Hilo kundi Kuna watu wamefaulu jiulize wamefaulu vipi vyuo vya kati vya afya ni changamoto mnoooooooooooo ni jipu Kuna chuo admission ya clinical officer ni 400 imagine
Mihitani ya kitaifa pia inavuja hovyo hovyo and no one who cares tuna taifa /tunaenda kuwa na taifa la hovyo sana
 
Yaani tuwakabidhi afya zetu watu wamepata marks za standardization 😂😂😂

. Ndo hawa badala ya kutoa figo, anatoa bandama

. Amekula SUP za kutosha mpaka amekimbilia JF kuomba msaada 😅😅😅.
 
  • Kicheko
Reactions: a45
Back
Top Bottom