DOKEZO NACTVET wanafelisha wanafunzi wa Clinical Officer makusudi, mamlaka husika naomba iliangalie

DOKEZO NACTVET wanafelisha wanafunzi wa Clinical Officer makusudi, mamlaka husika naomba iliangalie

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Yaani mfano wa mtoa mada ndo watu tukawape dhamana ya afya zetu 😭😭😭😭 hatari sana
 
Mihitani ya kitaifa pia inavuja hovyo hovyo and no one who cares tuna taifa /tunaenda kuwa na taifa la hovyo sana
Ni tatizo Sana hili mkuu.... Vilaza ni wengi sana huko makazini... 🥸 🥸 🥸.
 
  • Thanks
Reactions: a45
Kama hukusoma unataka ufàulu kweli.....
Kijana ebu kuwa seriously
 
Wanawafelisha kivipi ndugu? Madai Yako yamekua ya jumla mno. Kwa kuwa JF wanelinda privacy Yako na kupost kama anonymous, nilitegemea uwe na ushahidi tangible namna walivyo felisha ili mamlaka husika zichukue hatua. Sasa umeandika hisia bila facts.
 
Hello habari,

Malalamiko yamekuwa mengi kwa wanafunzi wa clinical officer kwa vyuo vingi hapa Tanzania, wanafunzi wanafelishwa makusudi, vyuo vingi wanaopata pass hata robo ya darasa hawafiki, wanaopata sup wakienda kuzifanya wanafelishwa tena na wanapata Repeating Modules hivyo inawalazimu kurudia mwaka. Na wanaopata repeating module wakija kuzifanya tena wanafelishwa (Discontinue)

Naomba mamlaka husika ilifanyie uchunguzi hili kwani malalamiko yamekuwa mengi sana. Inasikitisha kuona chuo x wanafunzi waliofaulu kwa kupata pass ni wanne tu huku wengine wote wakipata sup, repeating modules na disco.

Matokeo yametoka sio muda na ni kilio tu kwa wanafunzi na wazazi. Kama number ya wanafunzi inahitajika sio kubwa ni bora waanze kucontrol kuanzia kwenye admission.

Tunarudishana nyuma sana jamani.
Katika Jambo ambalo mpaka Leo najiuliza, huyu aloruhusu Kidato Cha Nne mwenye D mbili akasomee CO, aliwaza kwakutumia Makalio???. .

Mmeanzisha mavyuo yenu Private ya ajabu ajabu, na Ili mpate wanafunzi, mnaanza kushsha sifa za kujiunga Ili Sasa wigo uwe mpana, mpate wanafunzi wengi.

Matokeo yake, mmezalisha Vijana wa CO, weupeee, wajinga wajinga, hawajui Kila kitu .


Mavyuo yenu yanawafaulisha sana mitihan ya ndan, mkija mitihan ya NACTE, inawakamata mnaanza kusinzia Mnafelishwa ???.


Nmewah bahatika kwenda kusimamia chuo kimoja , MTU anakuambia , Nina Kiasi hili naomba Vijana wangu wapite Kwa ufaulu , unajiuliza, huyu anataka Hawa ndio baadae waje wamtibu Mtanzania??.
 
Unaenda kusoma Clinical officer, una pass za form four D 2, Kwa nini usifeli..... Eti daktari mtarajiwa wa TAMISEMI 🥴🥴🥴
Zaman kwenye hvyo vyuo ilikuwa mteremko tu lakin sahv hata ukitoboa ajira hamna na ukipata unalipwa 150,000 kwa mwezi

Hata hvyo navyo vimekuwa vingi mno kama shule za msingi
 
Zaman kwenye hvyo vyuo ilikuwa mteremko tu lakin sahv hata ukitoboa ajira hamna na ukipata unalipwa 150,000 kwa mwezi

Hata hvyo navyo vimekuwa vingi mno kama shule za msingi
. Kabisa mkuu, sasa hivi tunaita vyuo vya kata... Unatembea hatua km 1, kuna college ya afya.....
 
Back
Top Bottom