Nadhani Boniface Mwabukusi amekosea fani ya sheria . Nadhani alitakiwa kugombea udiwani au ubunge

Nadhani Boniface Mwabukusi amekosea fani ya sheria . Nadhani alitakiwa kugombea udiwani au ubunge

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Nadhani Boniface Mwabukusi amekosea fani ya sheria. Nadhani alitakiwa kugombea udiwani au ubunge.

Tukubaliane kimsingi uendeshaji wa nchi mbali na kufuata sheria na katiba lakini maslahi ya nchi yapo mbele zaidi ya sheria hii ni common sense tu unaweza usiikute kwenye sheria au katiba.

Mwabukusi anasema ni kosa kuwaondoa wamasai ngorongoro. Kisheria anaweza kuwa sawa lakini je amepima athari za kimazingira katika maeneo ya hifadhi ambapo nchi hii tunapata zaidi ya 20% ya mapato ya serikali kuu?

Wafugaji wanaondolewa ngorongoro lakini wanapelekwa katika maeneo mengine yenye ardhi na makazi ya kisasa tofauti na ngorongoro walikua wanalala kwenye nyumba za manyata. Hivi katika Hali ya kawaida hii ni improvement au backwards?

Huyu Mwabukusi kwa hoja hizi chache tu nimemuonq ni mwepesi sana.nyie mawakili mtakaosoma hapa nawashauri Mwabukusi hafai kama anapenda kuwa kiongozi sana mwambieni mwakani agombee ubunge.

PIA SOMA
- LIVE - Mdahalo wa Wagombea Uraisi TLS na Chief Odemba
 
Mwabukusi anasema ni kosa kuwaondoa wamasai ngorongoro. Kisheria anaweza kuwa sawa lakini je amepima athari za kimazingira katika maeneo ya hifadhi ambapo nchi hii tunapata zaidi ya 20% ya mapato ya serikali kuu?
Uko Very very wrong.......wamasai hawaondolewi kwa ajili ya kuongeza kipato, we know ujinga nyuma ya huo ujinga
 
Huyu Mwabukusi kwa hoja hizi chache tu nimemuonq ni mwepesi sana.nyie mawakili mtakaosoma hapa nawashauri Mwabukusi hafai kama anapenda kuwa kiongozi sana mwambieni mwakani agombee ubunge
Mpwa, kwanini usingechagua kukaa kimya tu? DC wako alisema No comment, at least ungeweza kukaa kimya ingesaidia
 
Kama wewe mwenyewe umekiri kisheria yuko sahihi kwanini unasema hana akili.?

Mbona wewe ndiye unaonekana huna akili?
Nakupa mfano mmoja Tanzania Tuna sheria ya kunyonga. Wapo wanaoikubali na wapo wanaoipinga kuwa ni kinyume na Haki za binadamu na hawa wote ni learned brothers. Wewe ni yapi maoni Yako?
 
Nakupa mfano mmoja Tanzania Tuna sheria ya kunyonga. Wapo wanaoikubali na wapo wanaoipinga kuwa ni kinyume na Haki za binadamu na hawa wote ni learned brothers. Wewe ni yapi maoni Yako?
Kati ya makundi hayo mawili unamaanisha mojawapo halina akili?

Kwa hiyo wewe kwako mwenye akili kufukuza Wamasai na kuleta Waarabu na mashuka yao mbugani, kuweka airstrips za ndege kubeba wanyama na kujenga mahoteli mbugani ndio akili?
 
Kati ya makundi hayo mawili unamaanisha mojawapo halina akili?

Kwa hiyo wewe kwako mwenye akili kufukuza Wamasai na kuleta Waarabu na mashuka yao mbugani, kuweka airstrips za ndege kubeba wanyama na kujenga mahoteli mbugani ndio akili?
Eti Mashuka​
 
Nadhani Boniface Mwabukusi amekosea fani ya sheria . Nadhani alitakiwa kugombea udiwani au ubunge.

Tukubaliane kimsingi uendeshaji wa nchi mbali na kufuata sheria na katiba lakini maslahi ya nchi yapo mbele zaidi ya sheria hii ni common sense tu unaweza usiikute kwenye sheria au katiba.

Mwabukusi anasema ni kosa kuwaondoa wamasai ngorongoro. Kisheria anaweza kuwa sawa lakini je amepima athari za kimazingira katika maeneo ya hifadhi ambapo nchi hii tunapata zaidi ya 20% ya mapato ya serikali kuu?
Wafugaji wanaondolewa ngorongoro lakini wanapelekwa katika maeneo mengine yenye ardhi na makazi ya kisasa tofauti na ngorongoro walikua wanalala kwenye nyumba za manyata. Hivi katika Hali ya kawaida hii ni improvement au backwards?

Huyu Mwabukusi kwa hoja hizi chache tu nimemuonq ni mwepesi sana.nyie mawakili mtakaosoma hapa nawashauri Mwabukusi hafai kama anapenda kuwa kiongozi sana mwambieni mwakani agombee ubunge.
Kisheria anaweza kuwa yuko sawa au kisheria yuko sawa?

Huyo ni mwanasheria, anagombea uongozi kwenye chama cha wanasheria, ulitaka awe sawa kishairi?
 
Back
Top Bottom