Nadhani Boniface Mwabukusi amekosea fani ya sheria . Nadhani alitakiwa kugombea udiwani au ubunge

Nadhani Boniface Mwabukusi amekosea fani ya sheria . Nadhani alitakiwa kugombea udiwani au ubunge

Uko Very very wrong.......wamasai hawaondolewi kwa ajili ya kuongeza kipato, we know ujinga nyuma ya huo ujinga
Rasilimali za nchi ndio chanzo cha mafanikio kama taifa. Wamasai wamekaa kwenye eneo ambalo ni potential kwa uwekezaji kupata fedha nyingi za kigeni ili huko kwenu mjengewe hospitali , Barabara , maji , shule na huduma mbali mbali za kijamii. Wewe unadhani bila serikali kuwa na plan za kutumia maeneo tuliyobarikiwa nayo kuwa na rasilimali huko kwenu Dodoma vijijini mngepata hizi huduma?
 
Nadhani Boniface Mwabukusi amekosea fani ya sheria . Nadhani alitakiwa kugombea udiwani au ubunge.

Tukubaliane kimsingi uendeshaji wa nchi mbali na kufuata sheria na katiba lakini maslahi ya nchi yapo mbele zaidi ya sheria hii ni common sense tu unaweza usiikute kwenye sheria au katiba.

Mwabukusi anasema ni kosa kuwaondoa wamasai ngorongoro. Kisheria anaweza kuwa sawa lakini je amepima athari za kimazingira katika maeneo ya hifadhi ambapo nchi hii tunapata zaidi ya 20% ya mapato ya serikali kuu?
Wafugaji wanaondolewa ngorongoro lakini wanapelekwa katika maeneo mengine yenye ardhi na makazi ya kisasa tofauti na ngorongoro walikua wanalala kwenye nyumba za manyata. Hivi katika Hali ya kawaida hii ni improvement au backwards?

Huyu Mwabukusi kwa hoja hizi chache tu nimemuonq ni mwepesi sana.nyie mawakili mtakaosoma hapa nawashauri Mwabukusi hafai kama anapenda kuwa kiongozi sana mwambieni mwakani agombee ubunge.
Wewe ndo kopo tupu kichwani
 
Rasilimali za nchi ndio chanzo cha mafanikio kama taifa. Wamasai wamekaa kwenye eneo ambalo ni potential kwa uwekezaji kupata fedha nyingi za kigeni ili huko kwenu mjengewe hospitali , Barabara , maji , shule na huduma mbali mbali za kijamii. Wewe unadhani bila serikali kuwa na plan za kutumia maeneo tuliyobarikiwa nayo kuwa na rasilimali huko kwenu Dodoma vijijini mngepata hizi huduma?
Huyu mtu nina mashaka na akili zake kama zina utimamu..
 
Kuchimba madini kwenye mbuga ni hatari kuliko Wamasai kubaki Ngorongoro
Bado upo nyuma sana ya wakati. Chadema mlipinga ujenzi wa bwawa la mwalimu Nyerere kwa sababu ya kampeni zenu eti tunaharibu mazingira. Ajabu treni imeanza kufanya kazi nyie ndio wakwanza mnapiga selfie kwenye treni. Shenzi sana.
 
Nadhani Boniface Mwabukusi amekosea fani ya sheria . Nadhani alitakiwa kugombea udiwani au ubunge.

Tukubaliane kimsingi uendeshaji wa nchi mbali na kufuata sheria na katiba lakini maslahi ya nchi yapo mbele zaidi ya sheria hii ni common sense tu unaweza usiikute kwenye sheria au katiba.

Mwabukusi anasema ni kosa kuwaondoa wamasai ngorongoro. Kisheria anaweza kuwa sawa lakini je amepima athari za kimazingira katika maeneo ya hifadhi ambapo nchi hii tunapata zaidi ya 20% ya mapato ya serikali kuu?
Wafugaji wanaondolewa ngorongoro lakini wanapelekwa katika maeneo mengine yenye ardhi na makazi ya kisasa tofauti na ngorongoro walikua wanalala kwenye nyumba za manyata. Hivi katika Hali ya kawaida hii ni improvement au backwards?

Huyu Mwabukusi kwa hoja hizi chache tu nimemuonq ni mwepesi sana.nyie mawakili mtakaosoma hapa nawashauri Mwabukusi hafai kama anapenda kuwa kiongozi sana mwambieni mwakani agombee ubunge.
Duuuh😀😀😀😀
 
Bado upo nyuma sana ya wakati. Chadema mlipinga ujenzi wa bwawa la mwalimu Nyerere kwa sababu ya kampeni zenu eti tunaharibu mazingira. Ajabu treni imeanza kufanya kazi nyie ndio wakwanza mnapiga selfie kwenye treni. Shenzi sana.
huna huruma na mamia waliokufa kwa mafuriko rufiji?
 
Nadhani Boniface Mwabukusi amekosea fani ya sheria . Nadhani alitakiwa kugombea udiwani au ubunge.

Tukubaliane kimsingi uendeshaji wa nchi mbali na kufuata sheria na katiba lakini maslahi ya nchi yapo mbele zaidi ya sheria hii ni common sense tu unaweza usiikute kwenye sheria au katiba.

Mwabukusi anasema ni kosa kuwaondoa wamasai ngorongoro. Kisheria anaweza kuwa sawa lakini je amepima athari za kimazingira katika maeneo ya hifadhi ambapo nchi hii tunapata zaidi ya 20% ya mapato ya serikali kuu?
Wafugaji wanaondolewa ngorongoro lakini wanapelekwa katika maeneo mengine yenye ardhi na makazi ya kisasa tofauti na ngorongoro walikua wanalala kwenye nyumba za manyata. Hivi katika Hali ya kawaida hii ni improvement au backwards?

Huyu Mwabukusi kwa hoja hizi chache tu nimemuonq ni mwepesi sana.nyie mawakili mtakaosoma hapa nawashauri Mwabukusi hafai kama anapenda kuwa kiongozi sana mwambieni mwakani agombee ubunge.
We mkuu ni wawapi kunavitu vinatia hasira kama nikutie kofi hivi.?
 
Nadhani Boniface Mwabukusi amekosea fani ya sheria . Nadhani alitakiwa kugombea udiwani au ubunge.

Tukubaliane kimsingi uendeshaji wa nchi mbali na kufuata sheria na katiba lakini maslahi ya nchi yapo mbele zaidi ya sheria hii ni common sense tu unaweza usiikute kwenye sheria au katiba.

Mwabukusi anasema ni kosa kuwaondoa wamasai ngorongoro. Kisheria anaweza kuwa sawa lakini je amepima athari za kimazingira katika maeneo ya hifadhi ambapo nchi hii tunapata zaidi ya 20% ya mapato ya serikali kuu?
Wafugaji wanaondolewa ngorongoro lakini wanapelekwa katika maeneo mengine yenye ardhi na makazi ya kisasa tofauti na ngorongoro walikua wanalala kwenye nyumba za manyata. Hivi katika Hali ya kawaida hii ni improvement au backwards?

Huyu Mwabukusi kwa hoja hizi chache tu nimemuonq ni mwepesi sana.nyie mawakili mtakaosoma hapa nawashauri Mwabukusi hafai kama anapenda kuwa kiongozi sana mwambieni mwakani agombee ubunge.
Si bure utakua Abdul au dada yake unaefyonza madolari ya waarabu
 
Mtoa Maada ana habari kuwa wanatolewa wamasai na madini yanachimbwa mbugani?

Wewe na mwambukusi nani anazo sasa😂😂😂😂
 
Watu wanasema kule Ngorongoro kuna waarabu wanafanya yao huko Sasa hao hawana athari kwa mazingira??
Hivi mlikua mnataka tufuge simba na tembo huko kwenye hifadhi mpaka wavamie kwenye makazi ya watu tusiwavune? Warabu ni wawekezaji wanajenga hoteli za kitalii wanavutia uwekezaji tunapata dollars kufanya maendeleo. Hivi mnajua kuwa baadhi ya bidhaa muhimu sana kama mafuta ,madawa , technology kwa uchache tunaagiza kutoka mataifa ya nje ambalo hawapokei shillings yetu as medium of exchange? Jamani rasilimali zetu zinatumika kwa faida yetu wote na kwa kuzingatia maslahi ya taifa.
 
Back
Top Bottom