Nadhani kauli ya Ali Kiba imetufanya Watanzania tukose tuzo MTVMAMA2016

Wizkid last year na mwaka huu kafanya kazi kubwa sana, na ukumbuke kuna muda alikuwa anafanya kazi kali sana ila p square davido na dbanj wakawa wanammeza, fikiria hype ya drake n.k. Jamaa alistahili tuzo zote katika catergory alizokuwepo basi, haya ya huku kwetu sijui nani kasema nini ili iwe vipi nafasi yake ni kidogo
 
Kamaaaa umetumwa we mtoaaa postiiii mwambie aliye kutuma kuwa sisi syo watuuu wa mchezooo mchezooo tunaufahamuu mziki mzuriiii sanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…