Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Mm nafikiri ndugu zangu mnakosea interpretation nzima ya jambo hili. Huyu, jamaa yupo pale stadium kama Hemed Ally na, sio kama msemaji wa Simba.Kwa wale wataalamu wa body language na video analysts.
Kwa namna UVCCM inavyotamkwa na muonekana wa uso na matamshi yanayotamkwa vinatia shaka sana kama ni maamuzi ya Ahmed .
Tusifike huku , tuache vitendo na matokeo vijitangaze .
View attachment 3035448View attachment 3035447
Miaka kumi iliyopita ndio niligundua kuwa hizi simba yanga Kwani ni leo umelijua hilo i asset kubwa za chama tawala huo ndio ukawa mwisho wangu wa kushabikia haya matimu na ukawa mwisho kufatilia mpira wa Tanzania na mamiziki ya Tanzania. Nawashangaa sana mnaumiza vichwa kubishana matimu ya hovyo ambayo ni madalali ya ccm
Ulaya timu za kushabikia zipo kibao, mtu analipia azam tv ili aone ligie ya bongo kweli tumeumbwa tofauti.
Kuna kinaitwa mkate......Kwa wale wataalamu wa body language na video analysts.
Kwa namna UVCCM inavyotamkwa na muonekana wa uso na matamshi yanayotamkwa vinatia shaka sana kama ni maamuzi ya Ahmed .
Tusifike huku , tuache vitendo na matokeo vijitangaze .
View attachment 3035448View attachment 3035447
Wewe ndio hujamuelewa mtoa madaMm nafikiri ndugu zangu mnakosea interpretation nzima ya jambo hili. Huyu, jamaa yupo pale stadium kama Hemed Ally na, sio kama msemaji wa Simba.
Kwa wataalam, wa uhasibu na laws, wanasema the business should be separated from the owner. Yaan kuna business na mwenye business. Hemed ni mtu mwingine na msemaji wa Simba ni mtu mwingine. Hemed yupo kama hemed na ni mwanachama wa CCM.
ThanksMm nafikiri ndugu zangu mnakosea interpretation nzima ya jambo hili. Huyu, jamaa yupo pale stadium kama Hemed Ally na, sio kama msemaji wa Simba.
Kwa wataalam, wa uhasibu na laws, wanasema the business should be separated from the owner. Yaan kuna business na mwenye business. Hemed ni mtu mwingine na msemaji wa Simba ni mtu mwingine. Hemed yupo kama hemed na ni mwanachama wa CCM.