Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Binafsi mimi sio muumini wa siasa za CCM lakini kama haya machache yafuatayo mnyonge mnyongeni haki yake tumpe :-
1. Kuwa msikivu , mama anasikiliza mpaka kelele na maoni ya mitandaoni na ya msingi kuya fanyia kazi .
2. Kuruhusu mikutano ya kisiasa
3. Pasipo kujali nani atanufaika kisiasa zaidi amendelea kwa nguvu zote kukamilisha miradi aliyoanzia mtangulizi wake Hayati Magufuli
Haki yake apewe
1. Kuwa msikivu , mama anasikiliza mpaka kelele na maoni ya mitandaoni na ya msingi kuya fanyia kazi .
2. Kuruhusu mikutano ya kisiasa
3. Pasipo kujali nani atanufaika kisiasa zaidi amendelea kwa nguvu zote kukamilisha miradi aliyoanzia mtangulizi wake Hayati Magufuli
Haki yake apewe