Nadhani kwa mambo yanavyokwenda hatuna budi kumpa pongezi Rais Samia

Kwa kweli she is good. Wakimuacha afanye kazi mwenyewe wasipomuingilia yuko vizuri sana. Tatizo inaonyesha kuna watu wana maslahi binafsi na wanamsumbua tu mama yetu. Hawa hawatakaa wakaridhika hata wapewe nini.

Mama fanya kazi hao wajinga wote timua wasikusumbue. Mama Samia@2025-2030
 
Tumpe muda
 
Hiyo no 1 .km ni kweli amrudishe slaa ardhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…