ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Production zetu bongo c nzuri na Biti zetu nyingi ni legevu na zisizoweza kushindana na Nigeria.
Nimekuwa naenda Club nyingi za usiku, ila Kila zinapopigwa nyimbo hizi mbili yaani Amelowa ya harmonize na Yataniua ya diamond naona kabisa ni Biti za tofauti na ni Kali sana kiasi kwamba nahisi Nigeria twaweza shindana kidogo,
Toeni maoni yenu kuhusu Biti zetu nyepesi
Nimekuwa naenda Club nyingi za usiku, ila Kila zinapopigwa nyimbo hizi mbili yaani Amelowa ya harmonize na Yataniua ya diamond naona kabisa ni Biti za tofauti na ni Kali sana kiasi kwamba nahisi Nigeria twaweza shindana kidogo,
Toeni maoni yenu kuhusu Biti zetu nyepesi