Nadhani Mdundo wa amelowa na Yataniua tubaki hapa tutafika

Nadhani Mdundo wa amelowa na Yataniua tubaki hapa tutafika

Kwa upande wa beat Jeshi anajitahidi sana ngoma zake hata Kama mtu ajui kiswahili lakini akisilikiliza ngoma anapata vibe... Cheki hii list
Teacher konde
Outside
Anajikosha
Kamelowa
 
Hapo mjini Lindi na Ntwala Kuchele ukipanda gari zao ni Harmo kwenda mbele.

Wanamuelewa sana.

Biti la Amelowa ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
mix killer ndio abbah au?
No ni watu tofauti.. alifundishwa kazi na abbah alikua kijana wake, ila kawa mzuri sana wa ku mix nyimbo ndo mana konde na abbah wanamtumia sana kwenye mixing.
 
Production zetu bongo c nzuri na Biti zetu nyingi ni legevu na zisizoweza kushindana na Nigeria.

Nimekuwa naenda Club nyingi za usiku, ila Kila zinapopigwa nyimbo hizi mbili yaani Amelowa ya harmonize na Yataniua ya diamond naona kabisa ni Biti za tofauti na ni Kali sana kiasi kwamba nahisi Nigeria twaweza shindana kidogo,

Toeni maoni yenu kuhusu Biti zetu nyepesi
Usisahau mangdakiwe [emoji91]
 
Machawa wa Asake wa Tandale wanasonyaaaaaa wameshindwa hata kucomment,

Btw, Yataniua ni wimbo wa Mbosso.
 
Outside ndo balaa aisee japo hio amelowa sijawahi kuisikiliza

Narudia harmonize ni msanii mkali sana sema ana vimambo vyake tu vya kiwaki kwenye mziki jamaa nmekubali amebarikiwa sana
 
Outside ndo balaa aisee japo hio amelowa sijawahi kuisikiliza

Narudia harmonize ni msanii mkali sana sema ana vimambo vyake tu vya kiwaki kwenye mziki jamaa nmekubali amebarikiwa sana
Jamaa nyimbo zake zote hit
 
Back
Top Bottom