Harvest, Usiwe na Haraka utapata yule wa kweli kwa sababu umesema ukweli, na nafahamu kabisa wala huendeshi mkokoteni, sema umefanya hivyo ili kupata wa kweli na aliyetayari kukuvumilia kwenye shida na raha.
NAMUOMBA MUNGU ASIKIE KILIO CHAKO NA AKUPE MWENYE HERI NA WEWE , NA AKITUMIZIE HAJA YA MOYO WAKO.