Nadhani naweza nkapata msongo wa mawazo utakaonipeleka pabaya

Nadhani naweza nkapata msongo wa mawazo utakaonipeleka pabaya

Idrissou02

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
354
Reaction score
656
Nimeweka sana juhudi kwenye kujijengea maisha lakini nguvu zote hazijafua dafu. Muda huu nimelala apa kitandani ila usingizi sipati kwa maana nipo kwa baba wakati ilinipasa niwe nafanya harakati za kuoa kwa umri wangu.

Nimetafuta sana mtu wa kunifadhili mtaji nifanye biashara ninayoifaham vyema ya stationary lakini wapi nimekosa walau iyo ela kidogo ya kufanikisha hili. Pia nina mawazo mengi ya biashara nzuri ninayoiweza kama ya vyakula vya kuku na kuuza nguo. Ila mawazo bila hela ni upuuzi tu na kuichosha akili bure.

Nimeishia kufanya vibarua viwandani nalipwa sh 5000 kwa kufanya kazi masaa 12...sasa hela hiyo nitasave vp na kufikia mtaji wangu.

Najiona kama nishapoteza dira maishani, mungu ndo mjua wa yote lakini kwa sasa sina matumaini ya hivi karibuni. Nina mawazo kila siku mpk kichwa kinauma.

Iwapo kuna kazi yeyote ya halali mtu anaweza niungisha umu ndani, basi mungu atamlipa, kwan atafungua nuru kwny maisha yangu. Mimi ni mzuri sana wa kutumia kompyuta na nina uwezo wa kutengenza tovuti aina mbalimbali.

Mwenye kuwiwa kunisaidia ni dm please
 
Kama lengo lako hasa ni biashara wekeza zaidi hapo. Endelea kujifunza zaidi. Tengeneza marafiki walioko kwenye hizi nyanja hao ndio watakupa connection wakiona kitu ndani yako.
Ila tu usipende kulia lia maisha hayajawahi kuwa na huruma na kulia lia kutafanya watu wawe wanakukwepa act kama mtu mwenye ndoto na still unapambana.
 
Nimeweka sana juhudi kwenye kujijengea maisha lakini nguvu zote hazijafua dafu. Muda huu nimelala apa kitandani ila usingizi sipati kwa maana nipo kwa baba wakati ilinipasa niwe nafanya harakati za kuoa kwa umri wangu.

Nimetafuta sana mtu wa kunifadhili mtaji nifanye biashara ninayoifaham vyema ya stationary lakini wapi nimekosa walau iyo ela kidogo ya kufanikisha hili. Pia nina mawazo mengi ya biashara nzuri ninayoiweza kama ya vyakula vya kuku na kuuza nguo. Ila mawazo bila hela ni upuuzi tu na kuichosha akili bure.

Nimeishia kufanya vibarua viwandani nalipwa sh 5000 kwa kufanya kazi masaa 12...sasa hela hiyo nitasave vp na kufikia mtaji wangu.

Najiona kama nishapoteza dira maishani, mungu ndo mjua wa yote lakini kwa sasa sina matumaini ya hivi karibuni. Nina mawazo kila siku mpk kichwa kinauma.

Iwapo kuna kazi yeyote ya halali mtu anaweza niungisha umu ndani, basi mungu atamlipa, kwan atafungua nuru kwny maisha yangu. Mimi ni mzuri sana wa kutumia kompyuta na nina uwezo wa kutengenza tovuti aina mbalimbali.

Mwenye kuwiwa kunisaidia ni dm please
Kama una passport nikuunge na watu ukajilipue SOUTH AFRICA.
Mwanaume mapambano, haina kushindwa.
NB. Kwenye watu kuna maisha pia.
 
viwandani ulikua unapiga michongo gani mkuu kwa hiyo 5000
 
Kama lengo lako hasa ni biashara wekeza zaidi hapo. Endelea kujifunza zaidi. Tengeneza marafiki walioko kwenye hizi nyanja hao ndio watakupa connection wakiona kitu ndani yako.
Ila tu usipende kulia lia maisha hayajawahi kuwa na huruma na kulia lia kutafanya watu wawe wanakukwepa act kama mtu mwenye ndoto na still unapambana.
Achukue huu ushauri aufanyie kazi na bila Shaka atatusua
 
Continue struggling bro, hard working is something to reckon with it comes to matters success.Remember that failures did not know how close they were to success when they gave up.

Usikate tamaa pambana mpaka siku unafaulu.
 
Back
Top Bottom