Nadhani nusu ya Wanawake Tanzania hawafai kuolewa

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Huu utafiti binafsi nilioufanya pamoja na kuwa idadi kubwa ya wanawake kuliko wanaume nimekuja gundua kuna idadi ndogo ya wife material kwa mana hiyo nusu ya wanawake wa sasa hawafai kabisa kuolewa.

Kwa hali ya sasa ukifikilia kwa makini ni kama hatuna wanawake wakuoa wengi wamekuwa na viburi na zarau. Ukipata mwanamke mnyenyekevu mwenye kukuheshimu ujue umefanikiwa sana.

Pia, kuna kundi wanawake waliozalia nyumbani hawa nao ndio hawana sifa kabisa ya kuolewa kuna wanaume walijaribu kuwa sitiri lakini mwisho waliendelea na mahusiano ya awali.


 
1. Ujuwaji
2. Madai ya usawa usio na mantiki
3. Utandawazi
4. Ujinga wa kujiona bora ilhali sivo

Wanaume halikadhalika wamo Kwenye Tabia na sifa hizohizo.

Ni ulimwengu wa ajabuajabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…