Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Hapo dada umenena vizuri basi mimi nitakupenda bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo dada umenena vizuri basi mimi nitakupenda bure
Mtu mmoja anakufanya uone umezunguka dunia nzima. Acha uogaHuu utafiti binafsi nilioufanya pamoja na kuwa idadi kubwa ya wanawake kuliko wanaume nimekuja gundua kuna idadi ndogo ya wife material kwa mana hiyo nusu ya wanawake wa sasa hawafai kabisa kuolewa
Kwa hali ya sasa ukifikilia kwa makini ni kama hatuna wanawake wakuoa wengi wamekuwa na viburi na zarau
Ukipata mwanamke mnyenyekevu mwenye kukuheshimu ujue umefanikiwa sana
Pia kuna kundi wanawake waliozalia nyumbani hawa nao ndio hawana sifa kabisa ya kuolewa kuna wanaume walijaribu kuwa sitiri lakini mwisho waliendelea na mahusiano ya awali
Unaniita dada? Utakuja ufumuliwe marinda dogo, shauri ykoHapo dada umenena vizuri basi mimi nitakupenda bure
hahahahahaaaVijana hakikisheni mna watoto wa kutosha kuoa ni ushamba mwenyewe najuta si utani
Dooooh kumbe ni ngosha duuu nikajua mwanadada maana KIZIBO mara nyingi kinazibuliwa halafu unapitisha kitu. Si unajua hata bikira kuna kizibo.Unaniita dada? Utakuja ufumuliwe marinda dogo, shauri yko
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu bwana yesu kristo awe naweUshapotea ww......
endelea kuishi magetoni
Pyee🤣🤣🤣haya bhnUnapoenda kwa mwanamke unamuomba hela ama nini. Shida kubwa wao pesa wameona km ndio kitega uchumi chao. Wakati wanatakiwa wawe wavumilivu kwanini na wewe mkuu ukitongozwa unawahi kuomba hela kama ndio hivyo utaozea kwenu ama katafute kambi ya kuuza K.
Hata Mimi kumbe wengine wapo siyo mbayaMi nilijua hawapo kabisa
mtagawana na nani,ilihal wanaume wanaofaa kuoa na kuwa baba ndani ya familia hawafiki hata roboSasa hao nusu tutagawa vp!?
Awe pia naweSawa mkuu bwana yesu kristo awe nawe
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kama mm aiseee nimenata kwa mtoto yaani anajua wajibu wake Hadi sio poa usafi , upole,unyenyekevu ,ucheshi, urembo, kichwani zimetimia na anajituma .....yaaani kunakipindi najutuaga kabisa kumsaliti na naumia yaaani naanza kutafuta justice ya ku equalize maujinga yangu siioni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna muda tukitazamana usoni namuhurumia nasema mama ungejua umeolewa na mwanaume wa aina gani sijui Kama ungetabasam hivo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila sijawahi penda wanawake ila huyu nimejifunza kumpenda na kumuheshumu ,Hadi yeye mwenyewe anasema eti aliniomba Mimi kwa Mungu na akampatia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa nikijiangalia mtu mwenyewe ambaye niliombwa kwa mwenyezi Mungu naishia kujicheka tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukosefu wa bikra...ni mojawapo ya ukosefu wa tabia nzuri pia.wanawake wapo hawajaisha..wenye tabia nzuri ila awana bkra tuu