Nadhani nusu ya Wanawake Tanzania hawafai kuolewa

Nadhani nusu ya Wanawake Tanzania hawafai kuolewa

Huu utafiti binafsi nilioufanya pamoja na kuwa idadi kubwa ya wanawake kuliko wanaume nimekuja gundua kuna idadi ndogo ya wife material kwa mana hiyo nusu ya wanawake wa sasa hawafai kabisa kuolewa

Kwa hali ya sasa ukifikilia kwa makini ni kama hatuna wanawake wakuoa wengi wamekuwa na viburi na zarau. Ukipata mwanamke mnyenyekevu mwenye kukuheshimu ujue umefanikiwa sana

Pia, kuna kundi wanawake waliozalia nyumbani hawa nao ndio hawana sifa kabisa ya kuolewa kuna wanaume walijaribu kuwa sitiri lakini mwisho waliendelea na mahusiano ya awali
Ulichofanya ni utafiti au ni kuhisi tu, umefikiaje idadi hiyo ya nusu ya wanawake. Huo ni unajimu na si utafiti
 
isipokuwa wapare, ktk kikao cha wanaume tulikubaliana kwa kauli moja yakwamba wanawake wa kipare ni wife material kwa hali zote, umbo, tabia na matumizi ya pesa.
Labda kama wewe ME ni mpare pia maana ndo wanayaweza..

KE wapare wana amri balaa, inabidi ww ME uwe mtiifu kwake 🙄
 
Dada zako wanakutia hasira sana Mkuu.

Pole.
 
Alafu hii concept ya 50/50 imekaa kinafiki zaidi. kwa jinsi wanawake wanavyo perceive equality in mwanaume kuwa chini ya mwanamke tena kwa kila Jambo, at the same time mwanaume amhudumie kwa kila kitu Kama mgojwa vile[emoji28]
 
Weka pic, fb wengine hatupo huko

Wakinipiga ban uje uungane nami kuomboleza

1624205937664.png
 
Huu utafiti binafsi nilioufanya pamoja na kuwa idadi kubwa ya wanawake kuliko wanaume nimekuja gundua kuna idadi ndogo ya wife material kwa mana hiyo nusu ya wanawake wa sasa hawafai kabisa kuolewa

Kwa hali ya sasa ukifikilia kwa makini ni kama hatuna wanawake wakuoa wengi wamekuwa na viburi na zarau. Ukipata mwanamke mnyenyekevu mwenye kukuheshimu ujue umefanikiwa sana

Pia, kuna kundi wanawake waliozalia nyumbani hawa nao ndio hawana sifa kabisa ya kuolewa kuna wanaume walijaribu kuwa sitiri lakini mwisho waliendelea na mahusiano ya awali
Ndugu tatizo lipo kwetu tunachagua kwa vigezo vya kibinadamu kama tabia, sura,elimu, kabila n.k hivyo ndivyo makosa yetu haturudi kwa Mwenyezi Mungu kutupa wake maana aliahidi atatupa wa kufanana nasi, ndoa nyingi zina shida watu hatukupewa na Mungu tukatumia vigezo vyetu ambavyo vinaleta shida.
 
hivyo ndivyo makosa yetu haturudi kwa Mwenyezi Mungu kutupa wake maana aliahidi atatupa wa kufanana nasi

Hapa ndipo alipotuacha solemba, hakutupatia miongozo, matokeo yake tunakutana nao kama vipofu tunauziwa mbuzi kwenye magunia muziki tunakwenda kukutana nao majumbani, unajiuliza hivi nimenunua mbuziiii au chui!!!
 
Huu utafiti binafsi nilioufanya pamoja na kuwa idadi kubwa ya wanawake kuliko wanaume nimekuja gundua kuna idadi ndogo ya wife material kwa mana hiyo nusu ya wanawake wa sasa hawafai kabisa kuolewa

Kwa hali ya sasa ukifikilia kwa makini ni kama hatuna wanawake wakuoa wengi wamekuwa na viburi na zarau. Ukipata mwanamke mnyenyekevu mwenye kukuheshimu ujue umefanikiwa sana

Pia, kuna kundi wanawake waliozalia nyumbani hawa nao ndio hawana sifa kabisa ya kuolewa kuna wanaume walijaribu kuwa sitiri lakini mwisho waliendelea na mahusiano ya awali
Waleeni mabinti zenu vizuri ili wawe wake bora baadaye, acheni kulaumu haitasaidia, jiulize wewe kama baba unashiriki vipi kuhakikisha binti yako ni wife material wa baadaye?
 
Hapa ndipo alipotuacha solemba, hakutupatia miongozo, matokeo yake tunakutana nao kama vipofu tunauziwa mbuzi kwenye magunia muziki tunakwenda kukutana nao majumbani, unajiuliza hivi nimenunua mbuziiii au chui!!!
Makosa ni kwetu kwani hatukumwomba tukatumia vigezo vyetu kumbe tukakamatika kama mbuzi
 
Back
Top Bottom