The Donchop
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 294
- 378
Sio wote mkuuWanakera sana kuombana ombana hela sijui wakoje. Yaani ukijitusu tu kumtongoza mwanamke wa kibongo ujue kinachofuatia ni kuomba hela.
HaujielewiSio wote mkuu
Nimetoka kumpa hela mwanamke wangu akasuke
Ameirudisha niitunze mfuko wake uko vizuri.
Ulitaka uombwe Nini mkuu..Wanakera sana kuombana ombana hela sijui wakoje. Yaani ukijitusu tu kumtongoza mwanamke wa kibongo ujue kinachofuatia ni kuomba hela.
Tukubali Wanaume waoaji pia hamna, wengi wanapenda kitonga mwishoe wanaangukia kwenye useng*Huu utafiti binafsi nilioufanya pamoja na kuwa idadi kubwa ya wanawake kuliko wanaume nimekuja gundua kuna idadi ndogo ya wife material kwa mana hiyo nusu ya wanawake wa sasa hawafai kabisa kuolewa
Kwa hali ya sasa ukifikilia kwa makini ni kama hatuna wanawake wakuoa wengi wamekuwa na viburi na zarau
Ukipata mwanamke mnyenyekevu mwenye kukuheshimu ujue umefanikiwa sana
Pia kuna kundi wanawake waliozalia nyumbani hawa nao ndio hawana sifa kabisa ya kuolewa kuna wanaume walijaribu kuwa sitiri lakini mwisho waliendelea na mahusiano ya awali
Unapoenda kwa mwanamke unamuomba hela ama nini. Shida kubwa wao pesa wameona km ndio kitega uchumi chao. Wakati wanatakiwa wawe wavumilivu kwanini na wewe mkuu ukitongozwa unawahi kuomba hela kama ndio hivyo utaozea kwenu ama katafute kambi ya kuuza K.Ulitaka uombwe Nini mkuu..
Acha kukaririNdio msingi wa familia bora katika kitongoji,kijiji,Kata wilaya mkoa nchi.....
ww umezoea kuishi magetoni/kihuni!!?
huko ndio zao la wahuni na mis.henzi
[emoji23][emoji23].Uliowekeza kwenye kuoa ndio mnatuchosha sisi wajuba tunataka wanawake wenye viburi na dharau ili iwe rahisi kumuacha sasa wanyenyekevu huwa inachukua muda kumpigia chini kwahiyo inakuwa wanatupa kazi kimtindo
🤣 🤣 🤣 ila mnawaharibia sana single mothers jamani. Kwani walikuw wana do na kuzalishwa na akina nani? Si nyie nyineHapo kwenye viburi na dharau ongeza na ujuaji, yani hali ni mbaya sana mitaani..
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kama mm aiseee nimenata kwa mtoto yaani anajua wajibu wake Hadi sio poa usafi , upole,unyenyekevu ,ucheshi, urembo, kichwani zimetimia na anajituma .....yaaani kunakipindi najutuaga kabisa kumsaliti na naumia yaaani naanza kutafuta justice ya ku equalize maujinga yangu siioni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uliowekeza kwenye kuoa ndio mnatuchosha sisi wajuba tunataka wanawake wenye viburi na dharau ili iwe rahisi kumuacha sasa wanyenyekevu huwa inachukua muda kumpigia chini kwahiyo inakuwa wanatupa kazi kimtindo
Ushapotea ww......Acha kukariri
Maana pia ma homosexual wengi wanatoka kwenye hizo familia hasa wa gate kali tofauti na mageton
Siku hizi wanataka we ndo uwe chini yao.....Hapo kwenye viburi na dharau ongeza na ujuaji, yani hali ni mbaya sana mitaani..
Umeangalia proportion ya wanaume wanaofaa kuwa waoaji?Huu utafiti binafsi nilioufanya pamoja na kuwa idadi kubwa ya wanawake kuliko wanaume nimekuja gundua kuna idadi ndogo ya wife material kwa mana hiyo nusu ya wanawake wa sasa hawafai kabisa kuolewa
Kwa hali ya sasa ukifikilia kwa makini ni kama hatuna wanawake wakuoa wengi wamekuwa na viburi na zarau
Ukipata mwanamke mnyenyekevu mwenye kukuheshimu ujue umefanikiwa sana
Pia kuna kundi wanawake waliozalia nyumbani hawa nao ndio hawana sifa kabisa ya kuolewa kuna wanaume walijaribu kuwa sitiri lakini mwisho waliendelea na mahusiano ya awali
akikuomba ukampa wewe mwanaume ndo fara!!Wanakera sana kuombana ombana hela sijui wakoje. Yaani ukijitusu tu kumtongoza mwanamke wa kibongo ujue kinachofuatia ni kuomba hela.