Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Mkuu, karibu inbox..Nipe contact zao wawili tu hata sio wengi
Hatari tupuHuu utafiti binafsi nilioufanya pamoja na kuwa idadi kubwa ya wanawake kuliko wanaume nimekuja gundua kuna idadi ndogo ya wife material kwa mana hiyo nusu ya wanawake wa sasa hawafai kabisa kuolewa.
Kwa hali ya sasa ukifikilia kwa makini ni kama hatuna wanawake wakuoa wengi wamekuwa na viburi na zarau. Ukipata mwanamke mnyenyekevu mwenye kukuheshimu ujue umefanikiwa sana.
Pia, kuna kundi wanawake waliozalia nyumbani hawa nao ndio hawana sifa kabisa ya kuolewa kuna wanaume walijaribu kuwa sitiri lakini mwisho waliendelea na mahusiano ya awali.
Wengi wameumizwa kiuhalisoa kwenye mahusiano ya mwanzo au ktk familia zao. Kibaya zaidi ni pale wanapotaka kuaminisha na wengine kuwa Mahusiano hayana maana.Akina Joyce kiria, h.mdee, bulaya na feminist wengine ndoa wataziona kwenye chereko chereko tu
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣Mgeni wa JijiMbona huku kwetu wadada wanasalimia na wakarimu sana au nyie wandugu mnataka mambo yapi tena?
Hili jibu linatupa picha kuhusu utafiti wa Mleta mada.Kwani umelazimishwa kuwaoa?
Kuna siku dunia ilisimaa kisa kuna wanawake hawajaolewa au baadhi ya wanaume hawajaoa?
Ukiona mahusiano yanakushinda achana nayo fanya mengine.
We unadhani unawatumia kumbe wanakutumia. Kuna demu moja lichafu lichafu huko mtaani kwetu linatembea na njema wote wa mtaani. Halafu linakutajia Listi Deusi, Juma, Hamid, Joel nimeshawalamba. wala halina aibu.Wengi feminists, dawa yao ni kuwatumia na kuwatema, akili iwakae
we unadhani unawatumia kumbe wanakutumia. Kuna demu moja lichafu lichafu huko mtaani kwetu linatembea na njema wote wa mtaani. Halafu linakutajia Listi Deusi, Juma, Hamid, Joel nimeshawalamba. wala halina aibu.
Nyie mnadhani mmelila kumbe na lenyewe linawaweka kwenye list limewala wote.
Mi ndiyo maana nilichagua kuoa nje kitambo.Huu utafiti binafsi nilioufanya pamoja na kuwa idadi kubwa ya wanawake kuliko wanaume nimekuja gundua kuna idadi ndogo ya wife material kwa
AsanteeMkuu, karibu inbox..
Ila usiwachune sana, pls
Nas nashauri upewe ulinzi....
[emoji23][emoji23]Dooooh kumbe ni ngosha duuu nikajua mwanadada maana KIZIBO mara nyingi kinazibuliwa halafu unapitisha kitu. Si unajua hata bikira kuna kizibo.