johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamjibu ktk X yakeNataka tu kumjulisha Shehe Ponda kuwa Serikali ina Itifaki zake inazozizingatia Wakati Wote inapopokea mialiko katika Shughuli mbalimbaki
Shehe Ponda anadhani ni lazima Mgeni rasmi kukaa kwenye Shughuli aliyoalikwa hadi Mwisho
Nimesoma Ponda Ukurasani X
Ahsanteni sana 😄
Malaria 2
Sawa Gerson Msigwa tumekusikiaNataka tu kumjulisha Shehe Ponda kuwa Serikali ina Itifaki zake inazozizingatia Wakati Wote inapopokea mialiko katika Shughuli mbalimbaki
Shehe Ponda anadhani ni lazima Mgeni rasmi kukaa kwenye Shughuli aliyoalikwa hadi Mwisho
Nimesoma Ponda Ukurasani X
Ahsanteni sana 😄
Malaria 2
Nyakati zote ananijibia hapa 😀🔥Kamjibu ktk X yake
Hapo Chadema tangu Aondoke Tumaini Makene hamjapata mshahara wa kuajiri msemaji mwingine 😄Sawa Gerson Msigwa tumekusikia
Nataka tu kumjulisha Shehe Ponda kuwa Serikali ina Itifaki zake inazozizingatia Wakati Wote inapopokea mialiko katika Shughuli mbalimbaki
Shehe Ponda anadhani ni lazima Mgeni rasmi kukaa kwenye Shughuli aliyoalikwa hadi Mwisho
Nimesoma Ponda Ukurasani X
Ahsanteni sana
Umesahau kumtagi akujibu.Nyakati zote ananijibia hapa 😀🔥
Atakuja tu Bwashee 😄Umesahau kumtagi akujibu.
ponda ni pure gaidi, na huwa anaamini hii nchi ni ya kiislam,kumbe waislam wachache kuliko hao wengine.Nataka tu kumjulisha Shehe Ponda kuwa Serikali ina Itifaki zake inazozizingatia Wakati Wote inapopokea mialiko katika Shughuli mbalimbaki
Shehe Ponda anadhani ni lazima Mgeni rasmi kukaa kwenye Shughuli aliyoalikwa hadi Mwisho
Nimesoma Ponda Ukurasani X
Ahsanteni sana 😄
Malaria 2
Ponda gaid? Mkiristo wewe unachuki na waislamponda ni pure gaidi, na huwa anaamini hii nchi ni ya kiislam,kumbe waislam wachache kuliko hao wengine.
KilazaNataka tu kumjulisha Shehe Ponda kuwa Serikali ina Itifaki zake inazozizingatia Wakati Wote inapopokea mialiko katika Shughuli mbalimbaki
Shehe Ponda anadhani ni lazima Mgeni rasmi kukaa kwenye Shughuli aliyoalikwa hadi Mwisho
Nimesoma Ponda Ukurasani X
Ahsanteni sana 😄
Malaria 2
Daah dini za waarabu na wazungu hizi mnafikia kuitana huyu gaidi sijui yule nani aisee..ponda ni pure gaidi, na huwa anaamini hii nchi ni ya kiislam,kumbe waislam wachache kuliko hao wengine.
Sasa sisi humu JF tungejuaje?! Unyunyu lazima uletwe humu tuujadili.Kamjibu ktk X yake
Sasa Yohana Mbatizaji na mambo ya masheikh wapi na wapi?Nataka tu kumjulisha Shehe Ponda kuwa Serikali ina Itifaki zake inazozizingatia Wakati Wote inapopokea mialiko katika Shughuli mbalimbaki
Shehe Ponda anadhani ni lazima Mgeni rasmi kukaa kwenye Shughuli aliyoalikwa hadi Mwisho
Nimesoma Ponda Ukurasani X
Ahsanteni sana 😄
Malaria 2
kwahiyo nikisema ponda gaidi nakuwa na chuki na waislam? kwani uislam ni ugaidi? kama haujui, tangu enzi za mwembehai ni PONDA mcheza karate na mfundisha karate ndiye hurecruit magaidi, akiwa na mwenzie kundecha. fuatilia ugaidi wooote uliofanyika tanzania kulikuwa na mkono wa ponda. hawa ndio wanaochafua uislam na ulitakiwa uwe wa kwanza kuwashutumu badala ya kuwatetea.Ponda gaid? Mkiristo wewe unachuki na waislam
Umenikumbusha mbali sana 😀kwahiyo nikisema ponda gaidi nakuwa na chuki na waislam? kwani uislam ni ugaidi? kama haujui, tangu enzi za mwembehai ni PONDA mcheza karate na mfundisha karate ndiye hurecruit magaidi, akiwa na mwenzie kundecha. fuatilia ugaidi wooote uliofanyika tanzania kulikuwa na mkono wa ponda. hawa ndio wanaochafua uislam na ulitakiwa uwe wa kwanza kuwashutumu badala ya kuwatetea.
enzi za mwembechai eheee, vile virungu na mateke, walikuwa hawajui wewe ni mkristo, muislam, mganga wa kienyeji, mhindu au yeyote wakikukuta njiani maeneo yale unakula teke. yote yale yalikuwa na mkono wa ponda, na ameendelea hivyo hadi kesho. ana kesi rundo mahakamani huyo, zote ukisimuliwa, zina ugaidi. ponda mwenyewe mrundi anayejifanya mtu wa kigoma.Umenikumbusha mbali sana 😀
Waisilamu ndio wanaoongoza kuwa na chuki kali kwa wasio waisilamuPonda gaid? Mkiristo wewe unachuki na waislam
Ulimalizia hapo chini unamaanisha Shekhe Ponda ana Malaria 2 ?Nataka tu kumjulisha Shehe Ponda kuwa Serikali ina Itifaki zake inazozizingatia Wakati Wote inapopokea mialiko katika Shughuli mbalimbaki
Shehe Ponda anadhani ni lazima Mgeni rasmi kukaa kwenye Shughuli aliyoalikwa hadi Mwisho
Nimesoma Ponda Ukurasani X
Ahsanteni sana 😄
Malaria 2