johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inahusiana nini na uzi wako ? Punguza kunywa pombe chafuHapo Chadema tangu Aondoke Tumaini Makene hamjapata mshahara wa kuajiri msemaji mwingine 😄
Sawa bi Makinda mkuu wa sensa nchini ukifanya kazi pia za mtakwimimu mkuu.ponda ni pure gaidi, na huwa anaamini hii nchi ni ya kiislam,kumbe waislam wachache kuliko hao wengine.
Mbege nyingine wanatia kinyesi kwao uchagani.😁Hii inahusiana nini na uzi wako ? Punguza kunywa pombe chafu
Inahusiana na Msigwa uliyemtaja au Chibuku ya Kienyeji aka mbege imeshapanda kichwani 😀Hii inahusiana nini na uzi wako ? Punguza kunywa pombe chafu
Acha ujingaWaisilamu ndio wanaoongoza kuwa na chuki kali kwa wasio waisilamu
Akikusikia Mbowe utafungwa Jela 😃Mbege nyingine wanatia kinyesi kwao uchagani.😁
Acheni mila za kiarabu na mkubali Yesu kama Mungu na mwokozi wenu mtakoma na kuishi milele mkishakufa.Kamjibu ktk X yake
Sasa Yohana Mbatizaji na mambo ya masheikh wapi na wapi?
Yesu aliesubiwa ni Mungu? Aliemsulubu atakuwa na nguvu kuliko huyo Yesu? Mkiristo wa aina hii sijui kujifunza wapi? Halafu ndani ya nafsi yake haupendi uislamAcheni mila za kiarabu na mkubali Yesu kama Mungu na mwokozi wenu mtakoma na kuishi milele mkishakufa.
Nyau de adriz
Wewe unaupenda ukristo?Kuba
Yesu aliesubiwa ni Mungu? Aliemsulubu atakuwa na nguvu kuliko huyo Yesu? Mkiristo wa aina hii sijui kujifunza wapi? Halafu ndani ya nafsi yake haupendi uislam
Nampenda,Yesu na mama yakeWewe unaupenda ukristo?
Vipi kwenye Quran 39: 29 Allah anasema Allahmdullilah maana ya Allahmdullilah ni Asante Mungu kwa iyo Allah anasema asante Mungu maajabu ya Mudi haya maamaee.Kuba
Yesu aliesubiwa ni Mungu? Aliemsulubu atakuwa na nguvu kuliko huyo Yesu? Mkiristo wa aina hii sijui kujifunza wapi? Halafu ndani ya nafsi yake haupendi uislam
Haujajibu swaliNampenda,Yesu na mama yake
Nampenda Yesu na mama yake YesuHaujajibu swali
Kama wewe usivyoupenda ukristo unataka na watu waupende uisilamu?Nampenda Yesu na mama yake Yesu
Mimi nampenda Yesu na mama yake- hapo mbona hutii neno?Kama wewe usivyoupenda ukristo unataka na watu waupende uisilamu?
Surat Maryam 😃Mimi nampenda Yesu na mama yake- hapo mbona hutii neno?