Nadhani Sheikh Ponda haelewi Protocol za Serikali, hakukuwa na ulazima wowote Mgeni rasmi kukaa hadi Mwisho wa Mashindano ya Kuhifadhi Quran

Nadhani Sheikh Ponda haelewi Protocol za Serikali, hakukuwa na ulazima wowote Mgeni rasmi kukaa hadi Mwisho wa Mashindano ya Kuhifadhi Quran

ponda ni pure gaidi, na huwa anaamini hii nchi ni ya kiislam,kumbe waislam wachache kuliko hao wengine.
Sawa bi Makinda mkuu wa sensa nchini ukifanya kazi pia za mtakwimimu mkuu.
Umekunywa mafuta ya upako ulipo anguka mapepo kwa Mwamposya?
 
Kuba
Sasa Yohana Mbatizaji na mambo ya masheikh wapi na wapi?
Acheni mila za kiarabu na mkubali Yesu kama Mungu na mwokozi wenu mtakoma na kuishi milele mkishakufa.

Nyau de adriz
Yesu aliesubiwa ni Mungu? Aliemsulubu atakuwa na nguvu kuliko huyo Yesu? Mkiristo wa aina hii sijui kujifunza wapi? Halafu ndani ya nafsi yake haupendi uislam
 
Kuba
Yesu aliesubiwa ni Mungu? Aliemsulubu atakuwa na nguvu kuliko huyo Yesu? Mkiristo wa aina hii sijui kujifunza wapi? Halafu ndani ya nafsi yake haupendi uislam
Vipi kwenye Quran 39: 29 Allah anasema Allahmdullilah maana ya Allahmdullilah ni Asante Mungu kwa iyo Allah anasema asante Mungu maajabu ya Mudi haya maamaee.

njumu za kosovo

Nyau de adriz
 
Kuna kampeni ya kiongozi akiwa muislamu basi baadhi ya waislamu Huwa vigumu kumkosoa kwa lolote lile, sijui Kuna uzito gani pale waislamu tofautisheni uongozi na dini ya kiongozi ,udini sio kigezo Cha mtu kuwa kiongozi,.msimtetee kwa kuwa muslamu mwenzetu makosa sana haya mnafanya
 
Back
Top Bottom