Bashe na ndo kafanya hivyo ila mpina alitaka izidi kupaa bei ili kuwafurahisha mafisadi wanaomtumaKati ya Mpina na Bashe yupi alipaswa kuhakikisha sukari ipo nchini?
Leta ushahidi kama.inatafunwa. Au umesikia tu na weweTukishindwa yoote tutawasomea KURJUAAAAN shenzi kabisa machawa Nchi inatafunwa kama andazi nyie ni pyeee pyeee pyeeeeee
Lucas Mwashambwa mwingine huyu.Wadau nadhani mmemjua vizuri sasa Mpina. Siku zote anastrugle kuungusha utawala wa samia. Kumbe ile skendo yake na bashe ni ili ahakikishe sukari inaadimika mtaani halafu wananchi wailaumu serikali.
Jana nimesikia wakulima au wazalishaji wa sukari wakilalamika eti sukari sasa hivi imejaa kwenye maghara ya serikali na hivyo wanataka kumpeleka bashe mahakamani kwa nini sukari imejaa wakati walitegemea iwe chache ili wauze bei juu.
Hongera bashe you have stood to you toes and won the battle.
We jamaa ukitukanwa hapa usije kukimbilia kwa moderetor wako.Wadau nadhani mmemjua vizuri sasa Mpina. Siku zote anastrugle kuungusha utawala wa samia. Kumbe ile skendo yake na bashe ni ili ahakikishe sukari inaadimika mtaani halafu wananchi wailaumu serikali.
Jana nimesikia wakulima au wazalishaji wa sukari wakilalamika eti sukari sasa hivi imejaa kwenye maghara ya serikali na hivyo wanataka kumpeleka bashe mahakamani kwa nini sukari imejaa wakati walitegemea iwe chache ili wauze bei juu.
Hongera bashe you have stood to you toes and won the battle.
Jana wakulima ndo wameproove hilo siyo mimi. Uwe unasikiliza taarifa ya habari usiwe unadanganywa na akina mpina na genge lake na mafisadiWe jamaa ukitukanwa hapa usije kukimbilia kwa moderetor wako.
Hivi nyie mnaotumika kusema ujinga mnalipwa shingapi
Ama kweli siii hasa uongo na fitna,Debulabant hatimaye kibao kimegeukaWadau nadhani mmemjua vizuri sasa Mpina. Siku zote anastrugle kuungusha utawala wa samia. Kumbe ile skendo yake na bashe ni ili ahakikishe sukari inaadimika mtaani halafu wananchi wailaumu serikali.
Jana nimesikia wakulima au wazalishaji wa sukari wakilalamika eti sukari sasa hivi imejaa kwenye maghara ya serikali na hivyo wanataka kumpeleka bashe mahakamani kwa nini sukari imejaa wakati walitegemea iwe chache ili wauze bei juu.
Hongera bashe you have stood to you toes and won the battle.
Bashe amelisolve kisomi sana. Kama wafanyabiashara waliificha na kicreaty deficity ulitaka bashe awachekee. Big up basheHata kupanga hoja hujui, sasa kati ya anaeagiza nje wakati ndani imerundikana na anaepinga uagizaji holela nani Muhuni hapo?
#Bashe must go
Leta ushahidi kama.inatafunwa. Au umesikia tu na wewe
Zilikuepo njia nyingi mbadala kuliko njia hiyo ya Uhuni/upigaji. Hukumbuki awamu ya 5 tulitumia njia gani?Bashile amelisolve kisomi sana. Kama wafanyabiashara waliificha na kicreaty deficity ulitaka bashe awachekee. Big up bashe