Nadhani sura halisi ya Luhaga Mpina mmeiona sasa. Alitaka sukari iadimike mtaani ili lawama ziende kwa rais na serikali yake

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Wadau nadhani mmemjua vizuri sasa Mpina. Siku zote anastrugle kuungusha utawala wa samia. Kumbe ile skendo yake na bashe ni ili ahakikishe sukari inaadimika mtaani halafu wananchi wailaumu serikali.

Jana nimesikia wakulima au wazalishaji wa sukari wakilalamika eti sukari sasa hivi imejaa kwenye maghara ya serikali na hivyo wanataka kumpeleka bashe mahakamani kwa nini sukari imejaa wakati walitegemea iwe chache ili wauze bei juu.

Hongera bashe you have stood to you toes and won the battle.
 
Lucas Mwashambwa mwingine huyu.
 
We jamaa ukitukanwa hapa usije kukimbilia kwa moderetor wako.
Hivi nyie mnaotumika kusema ujinga mnalipwa shingapi
 
We jamaa ukitukanwa hapa usije kukimbilia kwa moderetor wako.
Hivi nyie mnaotumika kusema ujinga mnalipwa shingapi
Jana wakulima ndo wameproove hilo siyo mimi. Uwe unasikiliza taarifa ya habari usiwe unadanganywa na akina mpina na genge lake na mafisadi
 
Ama kweli siii hasa uongo na fitna,Debulabant hatimaye kibao kimegeuka
 
Hata kupanga hoja hujui, sasa kati ya anaeagiza nje wakati ndani imerundikana na anaepinga uagizaji holela nani Muhuni hapo?

#Bashe must go
 
Hata kupanga hoja hujui, sasa kati ya anaeagiza nje wakati ndani imerundikana na anaepinga uagizaji holela nani Muhuni hapo?

#Bashe must go
Bashe amelisolve kisomi sana. Kama wafanyabiashara waliificha na kicreaty deficity ulitaka bashe awachekee. Big up bashe
 
Bashile amelisolve kisomi sana. Kama wafanyabiashara waliificha na kicreaty deficity ulitaka bashe awachekee. Big up bashe
Zilikuepo njia nyingi mbadala kuliko njia hiyo ya Uhuni/upigaji. Hukumbuki awamu ya 5 tulitumia njia gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…