Nadhani watu wanaotaka kuleta taharuki ya tetesi za Lockdown nchi nzima wakamatwe na kuchukuliwa hatua kali za kisheria

Nadhani watu wanaotaka kuleta taharuki ya tetesi za Lockdown nchi nzima wakamatwe na kuchukuliwa hatua kali za kisheria

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Yaani jitu kisa limeweza kuafford kununua smartphone na kuweka bando basi linatiririka tu tetesi za ajabu ajabu anazojitungia kichwani kwake bila kufikiria Impact yake, eti kwamba kuna total lockdown hivyo kila mtu ajaze mahitaji yake ndani!

Jamani, hivi hayo mahitaji ya mwezi mzima huko masokoni watu wanapewa bure? Na hivyo vitu ni kwamba vyote vinaweza kuhifadhika kwa muda huo wa lockdown?

Mfano nyama na nyanya, sasa hii panic tunayopeana humu lengo lake nini kama si kufanya maisha ya wasionacho kuwa magumu zaidi ya yalivyo sasa? Maana si kila mtu anapesa ya kujaza chakula cha mwezi ndani, tusiwe wabinafsi wa kiwango hiki!

Binafsi ni mara 100 nife kwa Corona lakini sio njaa au kiu aisee, yaani mie mtoto wangu analia njaa ile kali serious halafu uniambie niko kwenye lockdown nisitokee?

Fikirieni jamani, mtoto wako wa kumzaa kabisa yuko mbele yako hapo analia njaa kali kabisa hajala na mama yake hana maziwa ya kumnyonyesha yamekauka kauka kau?

I swear, nitaua askari yeyote aliyembele yangu na nitaenda kumchemsha supu ya utumbo niokoe familia yangu, kama mnadhani tunatania jaribuni.

TUSITISHANE!
 
Wanazingua sana halafu serikali ikiweka hiyo lock down wao ndio wanakuwa wa kwanza kukosoa!

Hata mimi nashauri mijituyote inayotaka au kuleta nyuzi za lock down wakamatwe kwanza na washatkiwe kwa kuhatarisha amani ya nchi.

Serikali inatangaza kuna wagonjwa 20 jitu linakuambia wapo zaidi ya hao!Onesha wako wapi?

MNAKERA
 
Wanazingua sana halafu serikali ikiweka hiyo lock down wao ndio wanakuwa wa kwanza kukosoa!
Hata mimi nashauri mijituyote inayotaka au kuleta nyuzi za lock down wakamatwe kwanza na washatkiwe kwa kuhatarisha amani ya nchi.
Serikali inatangaza kuna wagonjwa 20 jitu linakuambia wapo zaidi ya hao!Onesha wako wapi?MNAKERA
Anaetaka lockdown si ajiweke lockdown yeye na familia yake ili wawe salama, kwanini utake kuua familia za wenzako kisa wewe umeweza kuafford kujilimbikizia chakula cha mwezi? Na unafikiri wewe ukiwa na chakula ndani kwako halafu jirani yako anakufa njaa na watoto wake wewe utabaki salama?

Yaani kabisa asikie harufu ya rosti dirishani kwako halafu mtoto wake anaghalaghala chini kwa njaa kali isiyomithilika na ndani kwake anapanga unadhani atakiacha salama?

Si anaweza akavunja ndani kwako na akakuta burungutu la noti akaliacha na akafuata lile sufuria la rosti jikoni kwako ili aokoe familia yake? Hivi watu huwa wanawaza marambili kabla ya kuropoka humu mitandaoni?

Death toll ya lockdown itakuwa ni kubwa mara 10,000 kuliko ya Corona. Anaetaka lock ajifungie yeye na familia yake!
 
Kwenye lockdown unaruhusiwa kutoka kununua dawa na chakula...sipendi lockdown!
 
Kwenye lockdown unaruhusiwa kutoka kununua dawa na chakula...sipendi lockdown!
Tatizo ni pakupata Hiyo hela ya dawa hizo na chakula hicho ndio tatizo
Tumezoea ukipambana mchana jioni unapitia mkaa na mafuta na unga au mchele sasa ukikaa ndani

Kama tu Rwanda serikali inagawa chakula lakini kuna jamaa mmoja anawatoto sita anapewa maharage robo

In God we trust korona is nothing to Tanzania tunaenda kuhisahau hii sio muda na kazi atuachi kufanya
 
Lockdown kwa wenzetu inapaswa kuwa fursa kwa nchi yetu kuendelea. Sema ndio hivyo hatuna viwanda vya kutosha.
 
sidhani kama wako sahihi hao wanaotaka lockdown, nionacho mimi watu hijiangalia wao tuu na si wengine kisha kutoa maoni ya jumla wakijilinganisha na wao.
athari za ugonjwa huu nid ndogo kuliko taharuki inavumishwa na baadhi ya watu wa huku kwetu.

kweli huko kwa wenzetu huu ugonjwa umeathiri pakubwa sana lakini huku kwetu hali ni tofauti mno!

mpaka sasa waliothirika ni hao 20 kwa taarifa rasmi, hao 19 waliopo kama huu ugonjwa ungekuwa unaathiri kama kwa wenzetu matokeo tungeyaona na kuyasikia.

wanaosema walioathirika niwengi hali ya kuwa hawana uthibitisho ni wababaishaji tu.
kwa zama tulizo nazo za tekolojoia tungesikia hata kwa fununu walao.

mi nadhani niwatu wavivu na walioshiba ndio wana shadadia kuwepo na lockdown.
 
Akamatwe Mshana Jr.
Ametuudhi wengi kwa kututishia wakati hakuna sababu ya msingi ya kutishwa.

USA maambukizi yanaenda laki tatu na iyo lockdown.

Tanzania 20 cases alafu useme jitihada zako ndo zimetufikisha hapa?

Tanzania bila Corona inawezekana Say no to lockdown.
 
HEBU MTAJE KWA JINA ALOBASHIRI HILO,TUMSHUGHULIKIE...HAWEZI LETA TAHARUKI KWAKO KIASI HICHO.
 
Kimbelembele cha kujifanya wataalam wa kila kitu humu mitandaoni sio kizuri kipindi hiki..

Lockdown ije au isije tuache wenye mamlaka ndo wazungumze..

Huu sio mpira kila mtu ajifanye mchambuzi
 
Ufipa ndio wanao lilia lockdown

Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
 
Kimbelembele cha kujifanya wataalam wa kila kitu humu mitandaoni sio kizuri kipindi hiki..

Lockdown ije au isije tuache wenye mamlaka ndo wazungumze..

Huu sio mpira kila mtu ajifanye mchambuzi

Tumuache mwenye mamlaka Makonda azungumze hahah.
 
Back
Top Bottom