Nadharia mpya kuhusiana na matatizo fulani ya mfumo wa neva na kupelekea kupooza kwa viungo

Nadharia mpya kuhusiana na matatizo fulani ya mfumo wa neva na kupelekea kupooza kwa viungo

Uhakika Bro

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2022
Posts
3,644
Reaction score
4,315
Multiple sclerosis: ni ugonjwa wenye sifa ya kuharibu ushikamanifu wa mfumo wa fahamu haswa kile kiwambo cha mafuta kinachoilinda mishipa ya fahamu.



Mara nyingi ikitokea huwa inatokea bila sababu kubwa ya kueleweka japo kama ilivyo ada watu huamua kujiaminisha kwamba labda ni vikemikali/sumu katika mazingira au ni vinasaba vimevurugika. Kama kawaida Uhakika huwa nakuwaga na maelezo yaliyojikita katika hizi imani tulizonazo katika jamii. Na imani hii ni ile imani katika Mungu. Ndio imani kwa Mungu.



Watu wasioamini katika Mungu kwa namna yoyote ile ndio wahanga wa kwanza wa hili tatizo. Ni kwa sababu: kama tu nilivyosema mwanzo kwamba vile sisi tunavyoishi na kuamini kuhusu ulimwengu ndiyo inakuja kuwa namna tunavyoishi na kuamini kama watu [jamii]. Na atharinyake inaendelea hadi kwenye imani ya seli zilizopo katika miilimyetu zitakavyoamini na kuenenda ndani ya miili yetu. Kama mtu haamini kwamba kuna mkuu wa huu ulimwengu, Muumbaji, Mungu au Mtunzi/Mbunifu wa haya yote. Yaani wewe mpe jina lolote tu alimradi liwakilishe Mwenyezi ambaye sisi pamoja na kila kilichoumbwa vinamtumikia. Kama mtu akiwa hana wazo la namna hiyo au imani. Kuna uwezekano mkubwa hata seli katika miili hiyo nazo kuishi kwa imani ileile na kupelekea kupuuzia chochote ambacho ubongo au mfumo wa fahamu utaziambia (kumbuka wenyewe[mfumo wa fahamu] ndio kiongozi). Kwa hiyo mwishoni michakato mbalimbali itapelekea katika majeraha na fujo zote zinazoonekana kwa wagonjwa hawa. Naomba kusisitiza hapa kuwa sisemi kwamba huu ni ugonjwa wa wasioamini Mungu tu. Hapana. Bali imani yoyote ile inayoendana na hizo, iwe ni kwa kushuku au hata kuamini kimakosa vile Mungu alivyo nayo pia ni hatari. Kwa mfano kufikiri kwamba Mungu anabashiribashiri, anatumia bahatinasibu au hayuko na hakika katika namna ya kubainisha kusudi la mambo kiasi ambacho sisi hatuioni sababu mara nyingi [Binafsi naamini kuwa ukiwa mwelewa na Kusudi la Mungu utaiona Hekima yake kuu]. Yote hayo yatapelekea mtu kufikirinkwamba ulimwengu mzima haueleweki/haukomakini na kila jambo linajitokesa tu bila kusudilolote, kwa hiyo anaweza kuendelea kwenye hayo matatizo ya mfumo wa neva, saratani na fujo nyingine katika mwili.



Kwa hiyo imani katika Mungu inaweza kuwa ni njia ya kupata nafuu na kupona ugonjwa huu wa neva[MS], kupooza na magonjwa yote mengine.



Jaribu kumtafuta Mungu wa kweli, na uwe makini! maana yeye YUKO AMBAYE YUKO. Kwa hiyo kuna hatari ya wewe kufinyanga na kumfanya vile unavyofikiri ndivyo alivyo. Kama ukiamua kumchagua yule wa bahati nasibu, mwanangu hiyo itakuwa ni juu yako. Kwa kuwa haijalishi unamuita Mungu kwanjina gani bali haswa ni zile zifa unazoziamini kumhusu huyo mungu. Ili kumpata yule wa kweli wewe waulize tu watu wenye afya. Uliza kwa Waislamu wenye afya, waulize Wakristu wenye afya, uliza Marastafari walio na afya, Mabudha, Wahindu, Uliza kwa Wanasayansi wenye afya. Huyo utakayemfahamu baada ya uchunguzi wako binafsi kuutafuta ukweli ndiye umuabudu maana kwanza kuabudu sikuzote ni jambo lamtu binafsi na Mungu ujue. Katika wote hao utampata Mungu anayeishi anayestahili kuabudiwa lakini ninakusihi usijaribu, tena usije ukajaribu kuishi bila kuwa naye [Mungu].



Nakuombea umpate Mungu wa kweli katika maisha yako.Aamen.
Stephen_Hawking_2015.jpg
Stephen_Hawking_2015.jpg
 
The new theory on multiple sclerosis (MS) and paralysis of the body parts

This is a disease[Multiple sclerosis] characterized by destruction of the intergrity of the nervous system, especially the neurons and the covering sheath that protects them, the myelin sheath.

Most of the times when it happens, it happens for unknown reasons at large but as usual people tend to believe that it is some chemicals and environmental or genetic derangements. But as usual Sure has an explanation regarding to societal beliefs. And this belief is the belief in God. Yes God beliefs.

People who believe in no God in any way are more susceptible to suffer from this disorder. This is because as I have said earlier that the way we live and believe about the universe becomes the way we live and believe as humans [civilization]. And this is transferred into the way our cells live and believe in our bodies. If one does not believe that there is a master of this universe, the Creator, God, The designer of all this. Call it anything but refer to the Almighty that we and all the natures created things serves. If one does not believe that, have no faith or idea of some sort. Chances are even their bodies cells will have the same faith and leading to ignoring whatever the brain or nervous system is telling them (remember it is[nervous sys.] the executive). In the end various mechanisms will lead to the pathophysiology and lesions as seen in MS. Again I don’t say that MS is a disease of atheists only. No. Any belief that is within those lines, whether is doubting, or believing in erroneous way of how God is is risky. For example thinking that God does guess, uses probability or is uncertain with his own reasoning that is unreasonable to us most of the times[Personally I believe if you are discerning of his purpose you will appreciate the high Wisdom]. All these leads one to think that the universe is uncertain and anything happens purposelessly, so may lead on to MS, cancers and other chaos in the bodies.

So faith in God may be a way to recover and effect cure from MS, paralysis and all other diseases.

Try finding the true God, because beware! Because HE IS WHAT HE IS. So there is a tendecy to mould HIM to become as He is who you think He Is. If you decide to make a random one, man that is up to you. Since it doesnt matter by what name you call God but what properties you ascribe to that god. To find the real one ask healthy people. Ask healthy Islams, ask healthy Christians, ask healthy Rastafarians, Budhas, Hindus, Healthy scientists. The one you will get after your own research, worship Him because after all religion is always between a person and God. In all those you must find the living God worth worshipping but I implore you to never, never exist without One.



I pray you find the truth and the real God in your lives. Aamin
 
Katika harakati za kutafuta ukweli upi kwako ni msingi mzuri unaoupa kipaumbele kati ya uchunguzi mpaka kufikia hitimisho wa kujua kitu kwa hakika au imani ambayo ambayo inakubali bila uthibitisho?
Asante sana kweli hiyo ni moja ya changamoto kubwa kwa watafuta ukweli - Kujua ipi ni kweli ya KWELI. Binafsi nilipitia njia hii hapa;
Summary: msingi mzuri ni AFYA

Katika harakati zangu mimi nilianza kwanza na kutafuta kwanza kama nipo au sipo. Nilipojithibitisha kwamba nipo. Nikajiuliza kipi kinanifanya mimi kuwa mimi. Nikagundua kuwa muunganiko wa nyama damu mifupa vinavyotumikiana na kuutumikia ubongo vinanifanya kuwa ni mimi[kwa nje]. Sasa nikaona tena ubongo unatumikia hivyo vitu vyote na vyote vinaonekana kuwa na lengo moja ambalo ni mimi. Na mimi kama mimi sishikiki bali ni lile lengo tu na wazo la umimi. Nikasema kuwa nitakichukulia kitu kuwa ni sahihi ntakapoona mfumo wake umekamilika kwa mfanano huo. Niligundua kuwa kile chenye kujitambua na kuyatambua mazingira mengine ndicho kinachokuwa muhimili wa vingine vyote katika mfumo. Na vingine vyote vitakuwa na mantiki kama tu vitatumikiana na kuiheshimu ile sehemu yenye akili. Kuhusu ukweli sasa niligundua kuwa kila mmoja [kila jamii/mfumo] anaweza kuamua kuwa kweli yake ni ipi. Kweli atakayoamua itampa matokeo yenye afya au yasiyo na afya. Lakini kweli niliyoichagua mimi ilikuwa ni AFYA. Afya kwa ile maana pana zaidi ya afya kwamba hali ya msawaziko wa kimwili, kiakili, kiuchumi, kijamii na kihisia etc. Basi kweli nitakayoifuata mimi itakuwa ni ile kweli yenye kuleta afya. Niligundua afya ya mwili ni pale kila sehemu ikisema sisi ni wa mtu na tunaishi kwa ajili ya kila mmoja wetu. Nikagundua nikiapply hicho kitu kila mahala ukweli unajiweka wazi. Kama jamii ikisema we are of government and we live for each other itastawi. Kama neutron na protoni zikisema we are of atom and we live for each other itastawi kwa afya. Hata vitu tunavyounda kama kompyuta nacho kitakuwa na afya kama mouse, keyboard vikiitumikia processor kwa lengo moja la kuwa kompyuta. Basi nikakubaliana na kanuni zinazoelekeana na hilo halafu baadae ndio kugundua kumbe hii ndio ipo katika filosofia kubwa kabisa aliyoileta Yesu iliyosema ' We are of God our Father, we ought to live for each other as brothers' Love God with all your mighty and your neighbour as yourself. Basi bila shaka huo ndio UKWELI.

Nikikataa kitu ambacho ni kweli nikaamua kuufuata uongo sio kwamba nitakufa hapohapo hapana, bali nitaishi katika hali isiyokuwa ya afya njema. Katika dunia hii sisi pia tu waamuzi wa ulimwengu wetu tunataka uweje tunapoendelea kuishi. Basi nikaamua kama nitaendelea kuishi basi nitajitahidi kuishi kwa usahihi. Nikagundua kuwa ninao uchaguzi pia sio kwamba uongo hauwezekani kuishi nao ukiufuata utauishi ukweli wake[katika huohuo uongo]. Ukweli mzuri ni ule wa kuishi kama ambavyo Mungu angependa tuishi na unaleta afya kweli kweli.
 
Asante sana kweli hiyo ni moja ya changamoto kubwa kwa watafuta ukweli - Kujua ipi ni kweli ya KWELI. Binafsi nilipitia njia hii hapa;
Summary: msingi mzuri ni AFYA

Katika harakati zangu mimi nilianza kwanza na kutafuta kwanza kama nipo au sipo. Nilipojithibitisha kwamba nipo. Nikajiuliza kipi kinanifanya mimi kuwa mimi. Nikagundua kuwa muunganiko wa nyama damu mifupa vinavyotumikiana na kuutumikia ubongo vinanifanya kuwa ni mimi[kwa nje]. Sasa nikaona tena ubongo unatumikia hivyo vitu vyote na vyote vinaonekana kuwa na lengo moja ambalo ni mimi. Na mimi kama mimi sishikiki bali ni lile lengo tu na wazo la umimi. Nikasema kuwa nitakichukulia kitu kuwa ni sahihi ntakapoona mfumo wake umekamilika kwa mfanano huo. Niligundua kuwa kile chenye kujitambua na kuyatambua mazingira mengine ndicho kinachokuwa muhimili wa vingine vyote katika mfumo. Na vingine vyote vitakuwa na mantiki kama tu vitatumikiana na kuiheshimu ile sehemu yenye akili. Kuhusu ukweli sasa niligundua kuwa kila mmoja [kila jamii/mfumo] anaweza kuamua kuwa kweli yake ni ipi. Kweli atakayoamua itampa matokeo yenye afya au yasiyo na afya. Lakini kweli niliyoichagua mimi ilikuwa ni AFYA. Afya kwa ile maana pana zaidi ya afya kwamba hali ya msawaziko wa kimwili, kiakili, kiuchumi, kijamii na kihisia etc. Basi kweli nitakayoifuata mimi itakuwa ni ile kweli yenye kuleta afya. Niligundua afya ya mwili ni pale kila sehemu ikisema sisi ni wa mtu na tunaishi kwa ajili ya kila mmoja wetu. Nikagundua nikiapply hicho kitu kila mahala ukweli unajiweka wazi. Kama jamii ikisema we are of government and we live for each other itastawi. Kama neutron na protoni zikisema we are of atom and we live for each other itastawi kwa afya. Hata vitu tunavyounda kama kompyuta nacho kitakuwa na afya kama mouse, keyboard vikiitumikia processor kwa lengo moja la kuwa kompyuta. Basi nikakubaliana na kanuni zinazoelekeana na hilo halafu baadae ndio kugundua kumbe hii ndio ipo katika filosofia kubwa kabisa aliyoileta Yesu iliyosema ' We are of God our Father, we ought to live for each other as brothers' Love God with all your mighty and your neighbour as yourself. Basi bila shaka huo ndio UKWELI.

Nikikataa kitu ambacho ni kweli nikaamua kuufuata uongo sio kwamba nitakufa hapohapo hapana, bali nitaishi katika hali isiyokuwa ya afya njema. Katika dunia hii sisi pia tu waamuzi wa ulimwengu wetu tunataka uweje tunapoendelea kuishi. Basi nikaamua kama nitaendelea kuishi basi nitajitahidi kuishi kwa usahihi. Nikagundua kuwa ninao uchaguzi pia sio kwamba uongo hauwezekani kuishi nao ukiufuata utauishi ukweli wake[katika huohuo uongo]. Ukweli mzuri ni ule wa kuishi kama ambavyo Mungu angependa tuishi na unaleta afya kweli kweli.
Asante kwa maelezo yako marefu ambayo naimani yataweza kuwasaidia wengine kwa namna nyingine watayoona inawafaa.

Kwa bahati mbaya swali langu hujalijibu

Katika harakati za kutafuta ukweli upi kwako ni msingi mzuri unaoupa kipaumbele kati ya uchunguzi mpaka kufikia hitimisho wa kujua kitu kwa hakika au imani ambayo ambayo inakubali bila uthibitisho?
 
Asante kwa maelezo yako marefu ambayo naimani yataweza kuwasaidia wengine kwa namna nyingine watayoona inawafaa.

Kwa bahati mbaya swali langu hujalijibu

Katika harakati za kutafuta ukweli upi kwako ni msingi mzuri unaoupa kipaumbele kati ya uchunguzi mpaka kufikia hitimisho wa kujua kitu kwa hakika au imani ambayo ambayo inakubali bila uthibitisho?
Duuh! hali ni ngumu aisee! hivi ni lini watu wa material mtasadiki kwamba kuna watu [kina sisi] wanauwezo wa kushikilia ushahidi uliokaa katika hali abstract. Nimesema ivii.... katika harakati zangu za kutafuta cha kufuata [Kweli] na cha kuachana nacho [uongo/ukweli kwenda kushoto] huwa ninavipima katika kigezo msingi cha AFYAAA mweh!
 
Mr Scars ngalia zaidi nadharia yangu ya kila kitu hapa Theory of everything

Nadharia utakayoishikilia ni kitu halisi kabisa kwako kila mmoja anao uhuru wa kuamua kushikilia ipi, ndio maana scars haulazimishwi kuishi katika ulimwengu wangu au wa mtu fulani. Bali ulimwengu uleule uliouamua 'Kujiumbia' wewe mwenyewe. Kila mmoja anahukumiwa automatically kwa kile anachokifanya no, hapana, unahukumiwa kwa kile ulicho [being].

Na hukumu sio mbaya wala nzuri kikwako bali ni ya haki. Some things are right, some things are left you choose the direction you want to take and each has a destination bro. Goodluck.
 
Duuh! hali ni ngumu aisee! hivi ni lini watu wa material mtasadiki kwamba kuna watu [kina sisi] wanauwezo wa kushikilia ushahidi uliokaa katika hali abstract. Nimesema ivii.... katika harakati zangu za kutafuta cha kufuata [Kweli] na cha kuachana nacho [uongo/ukweli kwenda kushoto] huwa ninavipima katika kigezo msingi cha AFYAAA mweh!
Mi nimekuuliza kuhusiana na uthibitisho ambao ni output ya utafiti na imani ambayo haihusishi utafiti na haina uthibitisho, nikiwa na maana yangu

Sasa wewe unakuja kuniambia habari za afya, sasa afya inahusikaje kwenye swali langu?

Unaposema Mungu yupo huwa unaweka hija hiyo katika mzani upi, hoja ya kiimani au hoja iliyopitia procedures za uthibitisho?
 
Mr Scars ngalia zaidi nadharia yangu ya kila kitu hapa Theory of everything

Nadharia utakayoishikilia ni kitu halisi kabisa kwako kila mmoja anao uhuru wa kuamua kushikilia ipi, ndio maana scars haulazimishwi kuishi katika ulimwengu wangu au wa mtu fulani. Bali ulimwengu uleule uliouamua 'Kujiumbia' wewe mwenyewe. Kila mmoja anahukumiwa automatically kwa kile anachokifanya no, hapana, unahukumiwa kwa kile ulicho [being].

Na hukumu sio mbaya wala nzuri kikwako bali ni ya haki. Some things are right, some things are left you choose the direction you want to take and each has a destination bro. Goodluck.
Tufanye maelezo marefu yawe mafupi


Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
 
Tufanye maelezo marefu yawe mafupi


Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Uthibitisho upo upo kabisa, upo...

Swali linakuja je? unao uwezo wa kuukubali uthibitisho nitakaokupatia katika asili yake hiyohiyo?
 
Uthibitisho upo upo kabisa, upo...

Swali linakuja je? unao uwezo wa kuukubali uthibitisho nitakaokupatia katika asili yake hiyohiyo?
Kwanini unatanguliza swali la mimi kukubali au kukataa kama kipaumbele wakati hujathibitisha?

Au we mwenyewe kwa unavyouona huo uthibitisho ukiupima unaweza kuwa convicing kiasi gani kuweza kumshawishi theist asiyeamini Mungu wako ukamfanya aamini na kuona Mungu wake ni potofu?

Imagine uthibitisho huo umemlenga kuthibitisha Mungu Yehova au Yesu kuwa ndio Mungu wa pekee na wa kweli

Umeona?

Kumbe tatizo sio tu atheists ambaye hakubaliani na Mungu wako

Sasa kabla hujajua atheist ataukubali au lah jaribu kufikiria kwa muislamu kwanza

Ningekuwa wewe ningeweka uthibitisho moja kwa moja bila kutanguliza self defense ambazo nikiziangalia hazitakuwa na msaada dhidi ya atheists ilihali wapo theists wengi ambao watapinga jibu hilo.

Kwa hiyo?

Bila shaka utazingatia ushauri wangu hapo juu
 
Mi nimekuuliza kuhusiana na uthibitisho ambao ni output ya utafiti na imani ambayo haihusishi utafiti na haina uthibitisho, nikiwa na maana yangu

Sasa wewe unakuja kuniambia habari za afya, sasa afya inahusikaje kwenye swali langu?

Unaposema Mungu yupo huwa unaweka hija hiyo katika mzani upi, hoja ya kiimani au hoja iliyopitia procedures za uthibitisho?
Sikiliza, kwani wewe kwako afya ni kitu halisi kwa kiwango gani. Nimesema mara kadhaa huwa ninatumia afya na sitanii. Huo ndio mzani wangu wa ukweli. Hoja ya Mungu yupo nilipoiweka kwenye huo mzani ilionekana kuleta afya isiyo kifani!!

Kanuni yenyewe ipo hivi;

We are of God and we live for mankind. (Sisi ni wa Mungu na tunaishi kwa ajili ya wanadamu). Anything done in that statement is right, anything contrary to this statement is left. Living and doing according to this statement is healthy and therefore right. Always healthy things are right.
 
Na slogan inayoendesha maisha yenyewe ikakaa hivi;

'Shit happens' is the worst philosophy to live with. 'Shit happens for a reason' is healthy, w...jpg
 
Ningekuwa wewe ningeweka uthibitisho moja kwa moja bila kutanguliza self defense ambazo nikiziangalia hazitakuwa na msaada dhidi ya atheists ilihali wapo theists wengi ambao watapinga jibu hilo.

Kwa hiyo?

Bila shaka utazingatia ushauri wangu hapo juu
Ili kuepusha kuwa nahangaika kuuandika uthibitisho kila siku nilishachukuaga hatua zamani za kuuandika wote katika blog yangu, ila kipande kipo humuhumu JF.

Uthibitisho wenyewe upo katika hali ya wazo, au lengo ndio maana nikauliza utaukubali katika hali yake hiyo. Kuukubali au kuukataa inategemea na wewe kwako wazo ni 'kitu halisi' kwa kiasi gani. Karibu Uthibitisho wa uhalali wa wazo la kwamba Mungu yupo post
 
Sikiliza, kwani wewe kwako afya ni kitu halisi kwa kiwango gani. Nimesema mara kadhaa huwa ninatumia afya na sitanii. Huo ndio mzani wangu wa ukweli. Hoja ya Mungu yupo nilipoiweka kwenye huo mzani ilionekana kuleta afya isiyo kifani!!

Kanuni yenyewe ipo hivi;

We are of God and we live for mankind. (Sisi ni wa Mungu na tunaishi kwa ajili ya wanadamu). Anything done in that statement is right, anything contrary to this statement is left. Living and doing according to this statement is healthy and therefore right. Always healthy things are right.
"We are of God and we live for mankind"

Kanuni inayoanza na conclusion (hasty generalizations fallacy) hiyo ni forgery na siwezi kuruhusu majibu yake na ulikuwa sahihi ku doubt majibu yako kuweza kukataliwa.
 
Ili kuepusha kuwa nahangaika kuuandika uthibitisho kila siku nilishachukuaga hatua zamani za kuuandika wote katika blog yangu, ila kipande kipo humuhumu JF.

Uthibitisho wenyewe upo katika hali ya wazo, au lengo ndio maana nikauliza utaukubali katika hali yake hiyo. Kuukubali au kuukataa inategemea na wewe kwako wazo ni 'kitu halisi' kwa kiasi gani. Karibu Uthibitisho wa uhalali wa wazo la kwamba Mungu yupo post
Kama uthibitisho upo katika hali ya wazo na kwako unaona wazo ni msingi mzuri wa kujua ukweli wa mambo

Basi na mimi nina wazo hapa

Nina wazo, wazo lako la kusema Mungu yupo kwa mawazo ni utapeli wenye mzaha ndani yake.

Una mawazo yeyote dhidi ya hoja yangu?
 
Back
Top Bottom