Nadharia ya miaka 1,000 duniani ni sawa na siku moja mbinguni si sahihi kabisa

Nadharia ya miaka 1,000 duniani ni sawa na siku moja mbinguni si sahihi kabisa

Mpaka unaingia kaburini tena mkae na wakubwa zenu walio wazidi katika elimu hamuwezi kuthibitisha hili mnalo dai.
Kwanini mwa tumia nguvu nyingi kumfanan8sha issa wenu na Kristo
 
Maana yake Mungu hayupo limited na muda.

Mwenyezi Mungu alikuwepo kabla ya kuumbwa kwa dunia hii, ikiwemo na muda. Na ataendelea kuwepo hata baada ya muda huu kuisha.

Ndio maana tunasema milele yote tukimaanisha hatuwezi kupima kwa muda wetu huu wa kibinadamu.
 
Kwanini mwa tumia nguvu nyingi kumfanan8sha issa wenu na Kristo
Hakuna nguvu inayotumiwa,sababu nyinyi mnaokanusha mnashindwa kuthibitisha ya kuwa Yesu sio Issa. Hili pia hamuwezi kuthibitisha mpaka mnakufa. Kuna maswali mengi nimewauliza kwenye uzi husi na jambo hili,ila sijabiwa na hamuwezi kuyajibu maswali yale.
 
• Yesu ni Mungu ila Isa sio Mungu.

• Yesu alikufa, akafufuka na kupaa mbinguni tofauti na huyo mnayemuita Isa.
 
Shida mnataka kujifunza Ukristu kupitia Uislam, hamwezi kamwe kuuelewa kama ambavyo haiwezekani kuuelewa Uislam kupitia Ukristu.

Lakini; historia, saikolojia na teolojia zinathibitisha wazi imani ipi ilikuwa ni matokeo ya kufanya plagiarism, na kuongezea chumvi kidogo, kutoka imani nyingine.
 
Ndio jina nililikua nalitumia zamani paula
Sawa. Unaonekana unapenda kuishughulisha sana akili yako. Nimekupenda Bure. Unapenda pia kusoma na kujifunza mambo ambayo wengi wanaona ni magumu kuyasoma/kujifunza.
 
Sawa. Unaonekana unapenda kuishughulisha sana akili yako. Nimekupenda Bure. Unapenda pia kusoma na kujifunza mambo ambayo wengi wanaona ni magumu kuyasoma/kujifunza.
Yeap mkuu umesema kweli.. My superpower I'm too Ambitious.
Ahsante kwa upendo
 
Ila ni ngumu kuiamini hii eti tangu Yesu azaliwe leo ndio siku ya pili mbinguni duh!
Pia kuna viumbe wadogo kuliko binadam mfano wa sisimizi, bakteria au mbu na wengine wadogo zaidi ambao life span yao ni masaa 24 au pungufu?

Sasa hao viumbe wanapoishi kwa masaa machache huwezi jua na wao huona kama vile wameishi miaka 100 kumbe ni siku moja tu kwa upande wa binadam. Who knows kwamba kwenye hii universe kuna super giants ambao life cycle yao ni kubwa kuliko sisi binadam na wanatuona sisi kama sisimizi au bakteria?
 
Pasri wangu kathibitisha kwa Mungu hakuna Muda
 
Pasri wangu kathibitisha kwa Mungu hakuna Muda


Muda upo lakini hauna kazi, ni sawa na jongoo aseme mwanga hakuna kwasababu hana macho ya kuona mwanga, ndivyo itakavyokuwa huko mbinguni muda utakuwepo lakini utakuwa useless, hii ni sawa na mtu aliye usingizini ambamo muda hauna nafasi japo upo na ndiyo maana ukiwa katika ndoto huwezi kujua muda wa ndoto hadi uamkapo, na unapoamka tayari muda unakuwa na nafasi kwasababu muda unaendana na space (space-time).
 
Nilichoelewa mimi na akili yangu ya KVANT KUBWA ni


Wanaposema miaka 1000 kwake ni sawa na siku 1.anatumbusha viumbe wake kuwa yeye hapotezi KUMBUKUMBU.

Kwa binadamu ni rahisi na kawaida kukumbuka ratiba na mizunguko yake yote aliyoifanya jana (tarehe na mwezi wa jana mwaka huu) lakini asikumbuke route au mizunguko,ratiba yake aliyoifanya tarehe na mwezi wa jana ya (mwaka uliopita)..

Mfano wakati una miaka mitatu uliwahi kuiba andazi sokoni(hiyo ni dhambi ulifanya). Lakini leo hii hukumbuki chochote na unaweza ukajiona huna dhambi duniani..kisa ni muda mrefu umepita...lakini kwa Mungu hatasahau atalikumbuka tukio lako lote kama vile limefanyika muda mfupi uliopita(saa au siku moja iliyopita)
Hivo utakumbushwa na kuhukumiwa vile vile...asante ngoja niendele kunywa KVANT yangu
Bora wewe
 
Hakuna nguvu inayotumiwa,sababu nyinyi mnaokanusha mnashindwa kuthibitisha ya kuwa Yesu sio Issa. Hili pia hamuwezi kuthibitisha mpaka mnakufa. Kuna maswali mengi nimewauliza kwenye uzi husi na jambo hili,ila sijabiwa na hamuwezi kuyajibu maswali yale.
Yesu hawezi kuwa msela issa
 
Nikubaliane na mleta post kwa hoja yake ya Mungu kutokuwa na kipindi cha wakati yaani yeye ni wa eternally hana mwanzo wala mwisho.
Nino hili la kiswahilili "milele" linapotumika ndani ya maandiko matakatifu limeonyesha kuwa ni kupindi cha wakati maalumu. Kama utaielewa lugha ya biblia mwanzo ambao ni ilipoanzia nyakati ni baada ya anguko la Adamu. Kabla ya hapo kulikua na umilele. Sasa baada ya anguko kukawa na kupungukiwa na utukufu wa Mungu kwa mamkind. Huu upungufu umetuwekea veil . Kiasi kwamba mapana ya ulimwengu wa roho ulio mbali sana na huu wa mwili umepotea kwa mamkind unless otherwise.
Kwa watu waliojaliwa mfano wa manabii wamepewa uwezo wa kuona ambayo watu wengi wa kawaida hawaoni wala kufahamu kwayo.
Ili Mungu kuchukuana na watu wa stara(pazia) imebidi itumike lugha ya mfano. Na hasa akitolea mifano vitu vinavyofahamika katika mazingira yetu wanadamu. Kwa suala la hii miaka imetumiwa lugha ya 'kama' sii halisi. "Mwaka mmoja ni kama miaka elfu".
No wonder Bwana Yesu aliwaambia wanafunzi wake hasa wale tenashara "Kama ikiwa naongea na ninyi yaliyo ya kidunia hamuelewi itakuwa vipi nikiwazungumzia ya mbinguni?"
Hata hivyo sii kwamba mtabaki vipofu kwa ya uhaibuni bali
"Yafaa mimi niondoke ili yule msaidizi niliyewaambia habari yake kutoka kwa Baba aje naye ni Roho mtakatifu"
Ndio kusema kuna kuachana mbali kati ya hekima ya kibinadamu na hekima ya Mungu.
Hapo kidg umeleta maana xo ili uweze kuelewa ya mbinguni lazima ufungamane na roho mtakatifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom