Nadharia yangu: Freeman Mbowe alimuomba Denis Urio amtafutie walinzi, DCI alidukua mawasiliano, akamshawishi Urio ashiriki kumbambikia Mbowe ugaidi

Nadharia yangu: Freeman Mbowe alimuomba Denis Urio amtafutie walinzi, DCI alidukua mawasiliano, akamshawishi Urio ashiriki kumbambikia Mbowe ugaidi

CreativityCode

Senior Member
Joined
Aug 8, 2020
Posts
158
Reaction score
653
Wandugu,

Baada ya kufuatilia kwa kina kinachoendelea mahakamani naweza kuja na nadharia ifuatayo. Freeman Mbowe alimuomba Denis Urio amtafutie walinzi.

Lakini kwa kuwa DCI alikuwa anafuatilia kwa ukaribu mawasiliano ya kila siku ya simu ya Mbowe aliona kuna connection na Denis Urio hivyo akamuita kupata uhakika.

Alipoelezwa kuwa FAM anahitaji walinzi basi akamshawishi Urio kweli amtafutie walinzi lakini baadaye wawageuke kwa kutunga uongo wa ugaidi.

Hii ni nadharia iliyoniijia kichwani.
 
Officer wa JWTZ kaona viashiria vya ugaidi badala ya kutoa taarifa kwa Intergency morning Officer au Administative officer wa JWTZ anakwenda kutoa taarifa kwa DCI !.Chain of Command ???.
 
Kwa swali aliloulizwa shahidi na Malya leo, inaonekana Urio ndiyo aliyesuggest kumtafutia vijana wa kumlinda Mbowe alipomtembelea kipindi kile ameshambuliwa na kujeruhiwa na wahuni

Screenshot_20220127-230722_Twitter.jpg


Screenshot_20220127-230752_Twitter.jpg
Screenshot_20220127-231120_Twitter.jpg
 
Wandugu,

Baada ya kufuatilia kwa kina kinachoendelea mahakamani naweza kuja na nadharia ifuatayo. Freeman Mbowe alimuomba Denis Urio amtafutie walinzi. Lakini kwa kuwa DCI alikuwa anafuatilia kwa ukaribu mawasiliano ya kila siku ya simu ya Mbowe aliona kuna connection na Denis Urio hivyo akamuita kupata uhakika. Alipoelezwa kuwa FAM anahitaji walinzi basi akamshawishi Urio kweli amtafutie walinzi lakini baadaye wawageuke kwa kutunga uongo wa ugaidi.

Hii ni nadharia iliyoniijia kichwani.
Nachukia sana serikali zetu za ki communist zote. Zina mambo ya hovyo sana na kunyanyasana kusiko sababu.

Kisa tu wewe si mfuasi wa chama tawala na humtukuzi mtawala !!
 
Sio kweli isipokuwa baada wadau waliotaka wamdhuru Mbowe na kuona jamaa ana ulinzi mkali ndio wakaamua kuwakamata hao walinzi kisha baada hao walinzi kushikwa ndio walioenda kulazimisha wataje mpango mzima na hata kumtaja huyo boya Urio
Yawezekana pia. Ila mbona Urio ni kama vile hakuguswa? na ameingiza mambo ya ugaidi na anayatetea?
 
Kuna ukweli hapo. Kwa siasa za Arusha na Hai zilivyokuwa, Mwenyekiti na Mh Lema walistahili kupata ulinzi unaoeleweka. Mambo waliyokuwa wakifanya Gambo na Sabaya ni ya hovyo kabisa. Sabaya na FM walikuwa maadaui wakubwa.
 
Kuna ukweli hapo. Kwa siasa za Arusha na Hai zilivyokuwa, Mwenyekiti na Mh Lema walistahili kupata ulinzi unaoeleweka. Mambo waliyokuwa wakifanya Gambo na Sabaya ni ya hovyo kabisa. Sabaya na FM walikuwa maadaui wakubwa.
hatari, kungekuwa kuna kufa mara mbili ningeomba magufuli afe tena, yote hayo aliyabariki
 
Back
Top Bottom