poposindege
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 453
- 175
- Thread starter
- #21
Ntashukuru sana ndugu.
Nakala ya hukumu ninayo nilishachukua.
Nakala ya hukumu ninayo nilishachukua.
Nipo safarini poposindege, nikiridi nyumbani nafikiri next week ntakuchekia kwenye library yangu. However, gharama zenyewe ni ndogo ndogo sana haitazidi 200,000/-;
Pia naona uko smart, umeweza kuuona udhaifu kwenye utetezi wake, ni point muhimu. Muhimu zaidi ni kwamba madai yako kwa ujumla ni mazito kiasi kwamba ukienda kwenye baraza utasikilizwa hiyo sina shaka;
Kama kesi imeshaamuliwa usisahau kuomba nakala ya hukumu.