Nadunduliza mkuu[emoji2]Mkuu hongera sana
Mungu mwema muombe atakupa japo Mimi ugonjwa wangu nikiionaNdoto yako imekua toka pikipiki hadi gari za kawaida na ilitimia. Sasa inaelekea kutimia kwenye gari kali. Hongera mkuu.
Utakakapozizoea gari kali bila shaka ndoto utaihamishia kwenye ndege binafsi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mafuta ya vidumu umenikumbusha juzi kuna sehemu nilipita na washikaji tukakuta jamaa gari yake imezimika ni cluger, tukamuuliza shida nini akasema imeegemea upande so mafuta nayo kwenye tank yameinama ndio maana haiwaki.word of caution, magari/pikipiki za Ulaya hazimilikiwi na malofa. make sure you are good financially. service tu inakula +450k, hakuna spare utapata chini 100k. mafuta ya vidumu hayaingii.
Jipange mkuu
Kluger naipenda sana[emoji23][emoji23][emoji23]Mafuta ya vidumu umenikumbusha juzi kuna sehemu nilipita na washikaji tukakuta jamaa gari yake imezimika ni cluger, tukamuuliza shida nini akasema imeegemea upande so mafuta nayo kwenye tank yameinama ndio maana haiwaki.
Tukamsukuma ilipokaa sawa akawasha akaondoka. Nikawambia washikaji usinunue tu gari ili watu wakuone huku mafuta unajaza ya vibaba
Ipo vizuri!..Kluger naipenda sana
Very good!Zamani nilipokua naona watu wakimiliki magari na mimi nilikua na pikipiki nilijiona dhalili sana na mnyonge.
Nilikua naona wenye magari kama watu waliopendelewa sana, na wenye pesa, lakini gari zenyewe sikuhizi hata milioni tatu au nne au tano unapata Suzuki au vitz old model used.
Baada ya kuwa na gari Vitz new model najihisi kudhalilika sana pale napopishana na V8, Range rover sport na gari nyingine za kishua yaani unajihisi mnyonge na kale kamsemo kwamba jamaangu unaendesha vigari vya kike mara mwanangu unaendesha kibaby walker.
Huu mwaka hautaisha bila kuchukua range mpya.
Je, wewe umeazimia kuwa na aina gani ya gari mwaka huu au kwa future.
Note: Hapa sio mawazo ya kuwaza magari ya ndotoni hapa nazungumzia wenye magari au pesa washaanza kuweka na wana uhakika wa kuwa na gari husika.
Mwenyewe hata usajili badoX5 sio
Hii hali pia ninayo na mimiSababu ya kuwepo duniani ukiichunguza inashangaza. Wakati mwingine nahisi kama tunakimbizana na sababu tofauti na sababu ya sisi kuwepo duniani.
Wakati nipo mtoto TV na game ilikiwa big deal, TV ikaletwa nikaizoea, Nikaanza kuona TV bila deki ts nothing, Deki ikaletwa nikatumiaa weee nikazoea nikaona kawaida wala sina time nayo, simu zikaingia nikakimbizana nazo kweli nikiwa na hii nakaa kidogo nataka ile nikazoea na hapo nikawa utu uzima umeshagonga hodi. Nikatekwa na magari, nunua hili uza nunua lile uza nunua hili π€£π€£π€£.... Mwisho hujali tena una gari gani zaidi ya kutaka uwe na dereva. Nina ndugu yangu aliyenitangulia yeye anakimbizana na nyumba tu. Jenga hii, Jenga ile bomoa hii weka fensi sijui kisima π. Mwisho tunakufa halafu wengine nao wanaendeleza mbio za kukimbizana na uchumi na vitu.
Kweli.Hii hali pia ninayo na mimi
Ukiwaza sana jinsi tunavyokimbizana na maisha unaona kama mtu una enda mbali zaidi
Ila kutokana na tabia tunazokutana nazo za watu unaona pesa inahitajika zaidi ili tuoneshane adabu la sivyo utaishi kinyonge