Jilipue tena kidogo tu kwenye simu mkuu hata ka camon aiseeππππ
Masharti ya mganga wangu hayaruhusuJil
Jilipue tena kidogo tu kwenye simu mkuu hata ka camon aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tupate vitu bomba
Siyo kila mmoja anajihisi kama wewe. Kwani, maisha si matoi au magari ya bei mbaya.Sie wengine ulevi wetu ni mijengo ya bei mbaya na akiba nono ya uzeeni.Zamani nilipokua naona watu wakimiliki magari na mimi nilikua na pikipiki nilijiona dhalili sana na mnyonge.
Nilikua naona wenye magari kama watu waliopendelewa sana, na wenye pesa, lakini gari zenyewe sikuhizi hata milioni tatu au nne au tano unapata Suzuki au vitz old model used.
Baada ya kuwa na gari Vitz new model najihisi kudhalilika sana pale napopishana na V8, Range rover sport na gari nyingine za kishua yaani unajihisi mnyonge na kale kamsemo kwamba jamaangu unaendesha vigari vya kike mara mwanangu unaendesha kibaby walker[emoji1787][emoji1787].
Huu mwaka hautaisha bila kuchukua range mpya.
Je, wewe umeazimia kuwa na aina gani ya gari mwaka huu au kwa future.
Note: Hapa sio mawazo ya kuwaza magari ya ndotoni hapa nazungumzia wenye magari au pesa washaanza kuweka na wana uhakika wa kuwa na gari husika.
Mimi ni Suzuki Jimny mkuu,sipendi Magari ya kuwatajirisha wenye gas stationIpo vizuri!..
Mimi kipenzi changu ni prado hizi toleo la kuanzia 2018
Hongera sana chief!Zamani nilipokua naona watu wakimiliki magari na mimi nilikua na pikipiki nilijiona dhalili sana na mnyonge.
Nilikua naona wenye magari kama watu waliopendelewa sana, na wenye pesa, lakini gari zenyewe sikuhizi hata milioni tatu au nne au tano unapata Suzuki au vitz old model used.
Baada ya kuwa na gari Vitz new model najihisi kudhalilika sana pale napopishana na V8, Range rover sport na gari nyingine za kishua yaani unajihisi mnyonge na kale kamsemo kwamba jamaangu unaendesha vigari vya kike mara mwanangu unaendesha kibaby walker[emoji1787][emoji1787].
Huu mwaka hautaisha bila kuchukua range mpya.
Je, wewe umeazimia kuwa na aina gani ya gari mwaka huu au kwa future.
Note: Hapa sio mawazo ya kuwaza magari ya ndotoni hapa nazungumzia wenye magari au pesa washaanza kuweka na wana uhakika wa kuwa na gari husika.
Mwamba amefikisha shilingi ngapi paka sasaHongera sana chief!
Mie nafikiria kufungua duka la spear za range rover ili tufanye biashara
Hahahaha nimemcheki anadai ndio kwanza ana laki na nusu π π π !Mwamba amefikisha shilingi ngapi paka sasa
Hiyo ninayoToyota Crown Hybrid RS
Muache anunue bana.....Braza maisha siyo mashindano, siku zote angalia uliowaacha nyuma na siyo mbele.
Hata ukinunua hiyo Range Rover bado huta ridhika maana Kuna watu Wana Gari za million 800. Hapa hapa bongo bado utajihisi mnyonge.
Unyonge upo mawazoni mwako na siyo watu wanakuzunguka.
150,000 times 30 sawa 4,500,000Hahahaha nimemcheki anadai ndio kwanza ana laki na nusu π π π !
Kwahio hii safari naona kimsingi bado ndefu sana! Huenda akanunua tukiwa awamu ya naneπ
Hahahahah kwahio baada ya miaka mi nne ikiwa hicho anachofanya cha kumpa 150,000 hakijavurugwa na Bwana Lameki150,000 times 30 sawa 4,500,000
ukichukua hiyo ukaizidisha mala 12 unapATA 54,000,000 AKIZIDISHA MALA 4 ANAPATA 216,000,000 HAPO ANAVUTA KABISA KITU
C.C witnessj
Na hiyo laki na nusu ni kisa siku mkuuHahahahah kwahio baada ya miaka mi nne ikiwa hicho anachofanya cha kumpa 150,000 hakijavurugwa na Bwana Lameki
Nakuunga mkono uchukue hiko chuma. Kimetulia sana.Zamani nilipokua naona watu wakimiliki magari na mimi nilikua na pikipiki nilijiona dhalili sana na mnyonge.
Nilikua naona wenye magari kama watu waliopendelewa sana, na wenye pesa, lakini gari zenyewe sikuhizi hata milioni tatu au nne au tano unapata Suzuki au vitz old model used.
Baada ya kuwa na gari Vitz new model najihisi kudhalilika sana pale napopishana na V8, Range rover sport na gari nyingine za kishua yaani unajihisi mnyonge na kale kamsemo kwamba jamaangu unaendesha vigari vya kike mara mwanangu unaendesha kibaby walker[emoji1787][emoji1787].
Huu mwaka hautaisha bila kuchukua range mpya.
Je, wewe umeazimia kuwa na aina gani ya gari mwaka huu au kwa future.
Note: Hapa sio mawazo ya kuwaza magari ya ndotoni hapa nazungumzia wenye magari au pesa washaanza kuweka na wana uhakika wa kuwa na gari husika.
Hekima nyingi na busara za kutosha nimezipata kwenye hii comment yako.Sababu ya kuwepo duniani ukiichunguza inashangaza. Wakati mwingine nahisi kama tunakimbizana na sababu tofauti na sababu ya sisi kuwepo duniani.
Wakati nipo mtoto TV na game ilikiwa big deal, TV ikaletwa nikaizoea, Nikaanza kuona TV bila deki ts nothing, Deki ikaletwa nikatumiaa weee nikazoea nikaona kawaida wala sina time nayo, simu zikaingia nikakimbizana nazo kweli nikiwa na hii nakaa kidogo nataka ile nikazoea na hapo nikawa utu uzima umeshagonga hodi. Nikatekwa na magari, nunua hili uza nunua lile uza nunua hili [emoji1787][emoji1787][emoji1787].... Mwisho hujali tena una gari gani zaidi ya kutaka uwe na dereva. Nina ndugu yangu aliyenitangulia yeye anakimbizana na nyumba tu. Jenga hii, Jenga ile bomoa hii weka fensi sijui kisima [emoji38]. Mwisho tunakufa halafu wengine nao wanaendeleza mbio za kukimbizana na uchumi na vitu.
Zamani nilipokua naona watu wakimiliki magari na mimi nilikua na pikipiki nilijiona dhalili sana na mnyonge.
Nilikua naona wenye magari kama watu waliopendelewa sana, na wenye pesa, lakini gari zenyewe sikuhizi hata milioni tatu au nne au tano unapata Suzuki au vitz old model used.
Baada ya kuwa na gari Vitz new model najihisi kudhalilika sana pale napopishana na V8, Range rover sport na gari nyingine za kishua yaani unajihisi mnyonge na kale kamsemo kwamba jamaangu unaendesha vigari vya kike mara mwanangu unaendesha kibaby walker[emoji1787][emoji1787].
Huu mwaka hautaisha bila kuchukua range mpya.
Je, wewe umeazimia kuwa na aina gani ya gari mwaka huu au kwa future.
Note: Hapa sio mawazo ya kuwaza magari ya ndotoni hapa nazungumzia wenye magari au pesa washaanza kuweka na wana uhakika wa kuwa na gari husika.
Hii sio gari ni birika la umeme.