Naelekea Iraq kuchunguza kambi za kijeshi zilizolipuliwa na Iran

Naelekea Iraq kuchunguza kambi za kijeshi zilizolipuliwa na Iran

Joined
Dec 4, 2019
Posts
59
Reaction score
101
Watanzania wenzangu niombeeni,

Nawasihi nioombeni pia tuombeeni team nzima tunaoenda kutathimini matokeo ya shambulio la Iran kwenye kambi za kijeshi. Nitawapa idadi kamili ya madhara na vifo vilivyotokana na shambulio hili. Niombeeni narudia tena niombeeni. Familia yangu ipo njiani kurejea nyumbani hali ya kiusalama sio nzuri Marekani.

Niombeeni sana ndugu zangu jaribu hili ni kubwa sana.
 
Nakushauri usiende na kichwa chako ambatana na kiwiliwili tu, kichwa kiache nyumbani uwaambie tu wakitunze vizuri,wasikidondoshe,Iraq kukatwa kichwa ni jambo la kawaida,fanya uchunguzi wako rudi nyumbani salama ungana na kichwa chako kufurahia matunda ya utafiti
 
Write your reply...**** Nina huu ni umama na **** kabisa mada ya kifala haieleweki hajajitosheleza
 
Back
Top Bottom