Lennovo core i5
Member
- Dec 4, 2019
- 59
- 101
Watanzania wenzangu niombeeni,
Nawasihi nioombeni pia tuombeeni team nzima tunaoenda kutathimini matokeo ya shambulio la Iran kwenye kambi za kijeshi. Nitawapa idadi kamili ya madhara na vifo vilivyotokana na shambulio hili. Niombeeni narudia tena niombeeni. Familia yangu ipo njiani kurejea nyumbani hali ya kiusalama sio nzuri Marekani.
Niombeeni sana ndugu zangu jaribu hili ni kubwa sana.
Nawasihi nioombeni pia tuombeeni team nzima tunaoenda kutathimini matokeo ya shambulio la Iran kwenye kambi za kijeshi. Nitawapa idadi kamili ya madhara na vifo vilivyotokana na shambulio hili. Niombeeni narudia tena niombeeni. Familia yangu ipo njiani kurejea nyumbani hali ya kiusalama sio nzuri Marekani.
Niombeeni sana ndugu zangu jaribu hili ni kubwa sana.