Lennovo core i5
Member
- Dec 4, 2019
- 59
- 101
Kuna team maalumu imeundwa tupo mchanganyiko, Mimi nipo kitengo cha maafaUnaenda kama nani? Mkereketwa, mdau wa HakiElimu?
Mkuu acha dhihaka na roho ya mtusasa wewe hujafika hata unakoenda unajampa jampa, je ukiikanyaga ardhi ya iran si ndio watakukuta na mavi kwenye zakana. relax umeyataka mwenyewe, na wale jamaa huwa hawana huruma, wanakulaga hadi vocha.
Hiyo team imeundwa na nani? wakati Iran kishasema kua hatomshirikisha US katika investigation ya hiyo ajali wala hatatoa black box kwa kampuni ya Boeing.Kuna team maalumu imeundwa tupo mchanganyiko, Mimi nipo kitengo cha maafa
Kwani amesema anaenda kuchunguza ajali ya ndege?Hiyo team imeundwa na nani? wakati Iran kishasema kua hatomshirikisha US katika investigation ya hiyo ajali wala hatatoa black box kwa kampuni ya Boeing.
Hujaelewa ndugu, sisi hatuendi kuchunguza ajali ya ndege, tunaenda kuchunguza milipukoHiyo team imeundwa na nani? wakati Iran kishasema kua hatomshirikisha US katika investigation ya hiyo ajali wala hatatoa black box kwa kampuni ya Boeing.
Hiyo team imeundwa na nani? wakati Iran kishasema kua hatomshirikisha US katika investigation ya hiyo ajali wala hatatoa black box kwa kampuni ya Boeing.
Hujaelewa ndugu, sisi hatuendi kuchunguza ajali ya ndege, tunaenda kuchunguza milipuko
Unataka ushahid upi ili uamini nipo USAHuu nao ni uninga mpya, uko kwa Mtogole lakini jf unajifanya unaishi Us...acha uffwalla
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu,nadhani sikumuelewa vizuri mleta mada,asante kwa kunikumbusha.
Nimekuelewa mkuu,ni kweli nilichanganya.