Annonymous
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 688
- 1,126
Habari wana jamvi JF
Toka nimeanza kujitegemea nimekuwa na vipindi maisha yananyooka. Yani kila unalofanya jah analibless . Ukitupa wavu sokoni kazima uvune pesa za kutosha. Sasa huwa naenda weeee kisha badae hela zile zinarudi zilikotoka yaani biashara inakuwa ngumu, ni kutumia tuuu na wakati mwingine ukituma hela kwa mlengwa kwa matumizi fulani italiwa.
Mara chuma ulete wkt mwingine kuibiwa au kupoteza. Yaani ilimladi pesa zipukutike tu nirudi masikini nianze moja tena upya kabisa hivyo. Sasa hapa katikati nilipata hela nikaenda nikajenga vyumba kadhaa mkoani nikarudi nikasongesha mambo super nmenunua pkpk na kiwanja mambo maswanu.
Sasa kumekucha pikipiki inasumbua haiishi matatizo, kazini ni hasara tu, kitega uchumi changu wateja hakuna nna madeni na naona kabisa mwezi ujao nikitoboa salama ni bahati maana kuna kila sababu ya kurudisha mpira kwa kipa tena.
Wakuu nyie huwa mnafanyaje mambo yananyooka mstari mnyoofu miaka na miaka
Toka nimeanza kujitegemea nimekuwa na vipindi maisha yananyooka. Yani kila unalofanya jah analibless . Ukitupa wavu sokoni kazima uvune pesa za kutosha. Sasa huwa naenda weeee kisha badae hela zile zinarudi zilikotoka yaani biashara inakuwa ngumu, ni kutumia tuuu na wakati mwingine ukituma hela kwa mlengwa kwa matumizi fulani italiwa.
Mara chuma ulete wkt mwingine kuibiwa au kupoteza. Yaani ilimladi pesa zipukutike tu nirudi masikini nianze moja tena upya kabisa hivyo. Sasa hapa katikati nilipata hela nikaenda nikajenga vyumba kadhaa mkoani nikarudi nikasongesha mambo super nmenunua pkpk na kiwanja mambo maswanu.
Sasa kumekucha pikipiki inasumbua haiishi matatizo, kazini ni hasara tu, kitega uchumi changu wateja hakuna nna madeni na naona kabisa mwezi ujao nikitoboa salama ni bahati maana kuna kila sababu ya kurudisha mpira kwa kipa tena.
Wakuu nyie huwa mnafanyaje mambo yananyooka mstari mnyoofu miaka na miaka