Wadau, habari zenu.
Ni mtumishi serikalini. Ofisini kwetu kuna mrembo mmoja (nikisema mrembo, ninamaanisha mrembo). Huyu dada kwa takribani miaka 4 tuliyohudumu nae hapa kazini, amekuwa akipa heshima ya kaka na mimi nikimuona kama dada yangu mdogo.
Sasa kisanga kikaanza, siku moja tukiwa kikaoni, ndani ya kikao nikawa nachati na mtu mwingine. Huyo dada akaniandikia katika kikaratasi, "usichati. Napata wivu". Na imekuwa ni kama ada, akisikia tu simu yangu inaita, lazima aje aangalie ni nani anapiga na ni nani naongea nae. Lakini pia, weekend amekuwa akiniomba kama nina nafasi, basi nimtoe outing.
Nina mke na yeye ni mke wa mtu. Nafanyaje?
Ni mtumishi serikalini. Ofisini kwetu kuna mrembo mmoja (nikisema mrembo, ninamaanisha mrembo). Huyu dada kwa takribani miaka 4 tuliyohudumu nae hapa kazini, amekuwa akipa heshima ya kaka na mimi nikimuona kama dada yangu mdogo.
Sasa kisanga kikaanza, siku moja tukiwa kikaoni, ndani ya kikao nikawa nachati na mtu mwingine. Huyo dada akaniandikia katika kikaratasi, "usichati. Napata wivu". Na imekuwa ni kama ada, akisikia tu simu yangu inaita, lazima aje aangalie ni nani anapiga na ni nani naongea nae. Lakini pia, weekend amekuwa akiniomba kama nina nafasi, basi nimtoe outing.
Nina mke na yeye ni mke wa mtu. Nafanyaje?