Pdidy JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 57,951 Reaction score 32,619 Jun 10, 2024 #1 Allah shida nn pesa zipo tuhangaike nazo Mwenzenu nasusbiria msg za muhamala namiee niungane kwenye kikombe cha xpesa Anaetaka ajipange kweli...
Allah shida nn pesa zipo tuhangaike nazo Mwenzenu nasusbiria msg za muhamala namiee niungane kwenye kikombe cha xpesa Anaetaka ajipange kweli...
Shadow7 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 24,606 Reaction score 39,289 Jun 10, 2024 #2 Ndo ipi hiyo mkuu? Au ile subscription ya Twitter?
Pdidy JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 57,951 Reaction score 32,619 Jun 10, 2024 Thread starter #3 Shadow7 said: Ndo ipi hiyo mkuu? Au ile subscription ya Twitter? Click to expand... Nenda fb andika xpesa uwe na I'd ya nida
Shadow7 said: Ndo ipi hiyo mkuu? Au ile subscription ya Twitter? Click to expand... Nenda fb andika xpesa uwe na I'd ya nida
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 40,828 Reaction score 99,523 Jun 10, 2024 #4 Naona Elon anazidi kuupiga mwingi hadi X-pesa....😜
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 Jun 10, 2024 #5 Then uje na uzi wa malalamiko wakati wa kulipa mkopo
Gulio Tanzania JF-Expert Member Joined Jan 30, 2018 Posts 3,325 Reaction score 7,807 Jun 10, 2024 #6 Mikopo wa laki riba bei gani na kwa muda gani
M mhogoz JF-Expert Member Joined Oct 16, 2021 Posts 739 Reaction score 1,195 Jun 10, 2024 #7 Nitumie link