Naelewa kabisa tunatafuta Maisha mazuri ila waafrika wenzetu ni kama wamefyatuka akili

Naelewa kabisa tunatafuta Maisha mazuri ila waafrika wenzetu ni kama wamefyatuka akili

TUKANA UONE

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2018
Posts
2,345
Reaction score
6,970
Huwa ninapokuwa napata muda na nimepumzika mara nyingi huwa napenda kufuatilia kipindi kimoja kinaitwa AIRPORT SECURITY ambacho kinapatikana katika channel ya NATIONAL GEOGRAPHIC kutoka king'amuzi Cha Dstv

Kipindi hiki mara nyingi kinaangazia masuala ya usalama katika Viwanja tofauti tofauti vya ndege huko duniani

Leo nitaongelea matukio mawili ambayo yamefanya nikaandika huu Uzi

AIRPORT SECURITY : RIO de JANEIRO

Kuna jamaa walikuwa 6(Washikaji 4 na mademu 2) kutoka nchini Ghana walijilipua na kufika Airport ya hapo Rio de Janeiro nchini Brazil wakajifanya mabubu 😁

Maafisa wa usalama wamekomaa kweli kuongea na Washikaji ila jamaa wakawa hawafungui midomo (Bila shaka nadhani walikubaliana),baada ya maafisa kuwakomalia na kuwaambia kama hawataki kuongea wanaenda kuwarudisha walikotoka,ndipo jamaa wakaanza Lia Kwa nguvu Ile ya kiafrika hadi kugalagala chini 😁😁,Kuna mmoja huyo yeye akajifanya mlemavu hawezi Kutembea,ilifika sehemu hadi maafisa wakawa wanacheka 😁!

Jamaa wakawa wanasema "Ghana killing.........Ghana killing ......Ghana killing,we are not go back to Ghana,it's better you Brazilian Police kill us but we are not go back to Ghana"😂😂😂

Daaaah maisha haya,nikawa najiuliza mbona Brazil yenyewe pia siyo kuzuri sana kama Europe!

Ok but jamaa waliwekwa kwenye kundi la watu ambao ni wahamiaji.


AIRPORT SECURITY : ROME (ITALY)


Leo pia katika kutazama kipindi nikaona Kuna watu wawili (Mwanamke na Mwanaume) wakiwa wanakaguliwa Pasipoti zao na kuulizwa maswali kadhaa na watu wa customs pamoja na maafisa usalama!

Yule jamaa na demu baada ya kukaguliwa walionekana wako sawa kwenye documents zao ila maafisa walipata shaka baada ya kuulizwa hapo Italy wamekuja kufanya ishu gani,Jamaa ambaye aliweza kuongea kiingereza kidogo alisema wameenda nchini Italy kupumzika na Kutembea kama watalii,nadhani maafisa hawakuridhika na maelezo hayo,ikabidi demu na mshikaji wapelekwe huko vyumba vya ukaguzi na kila mmoja akaingizwa kwenye chumba chake na kuanza kuhojiwa kivyake !

Baada ya kila mtu kuhojiwa kimpango wake,demu akasema mshikaji ni shemeji yake,na jamaa akasema demu ni mke wake kabisa wa ndoa!😁

Baada ya kubanwa na kukaziwa macho na maafisa,demu akasema mshikaji ni rafiki yake na mshikaji akasema demu ni Dada yake 😁

Nikawa najiuliza Hawa watu mpaka wanafanikiwa kupata visa ya Italy Ina maana hawakujua kunaweza kutokea maswali kama hayo?

Kwanini wasingekubaliana wakiwa bado AFRIKA kwamba wakiulizwa wasemeje?

Jamaa nikaona wameambiwa wanarudishwa walikotoka 😁

By the way ni kipindi ambacho huwa kinafundisha sana maana wanakamatwa watu kibao na drugs dealer ndo huwa kama wote!
 
Weka picha hii ukiamua kutukana mungu hata kusikiliza
IMG_0612.jpeg
 
Aahahahhahaa nimejikuta nachekea tumboni maana hapa nilipo siwezi cheka kwanguvu.

Mimi huwa niangalia hicho kipindi upande wa wanaokaguliwa mabegi ambapo wamebeba vyakula ambavyo nchi wanazoenda hawaruhusu hivyo vyakula.

Unakuta begi limejaa biringanya, nyanya chungu, samaki wakavu, dagaa wakavu, maembe Tanga, et al. Afisa usalama wanavipima kama having vimelea ambukizi Kisha wanaviharibu. Tons and tons ya vyakula huharibiwa kwenye port of entries.

Kuna nchi huwa wanaruhusu kuingia na vyakula ila kuna nchi wanaringa mbayaa, kama hutaki vyakula vyako viharibiwe wanakuridisha ulikotoka.

Ifike mahali watu wasome yanayohitajika kwenye nchi wanazoenda kabla ya kupanga safari.
 
Huwa ninapokuwa napata muda na nimepumzika mara nyingi huwa napenda kufuatilia kipindi kimoja kinaitwa AIRPORT SECURITY ambacho kinapatikana katika channel ya NATIONAL GEOGRAPHIC kutoka king'amuzi Cha Dstv

Kipindi hiki mara nyingi kinaangazia masuala ya usalama katika Viwanja tofauti tofauti vya ndege huko duniani

Leo nitaongelea matukio mawili ambayo yamefanya nikaandika huu Uzi

AIRPORT SECURITY : RIO de JANEIRO

Kuna jamaa walikuwa 6(Washikaji 4 na mademu 2) kutoka nchini Ghana walijilipua na kufika Airport ya hapo Rio de Janeiro nchini Brazil wakajifanya mabubu 😁

Maafisa wa usalama wamekomaa kweli kuongea na Washikaji ila jamaa wakawa hawafungui midomo (Bila shaka nadhani walikubaliana),baada ya maafisa kuwakomalia na kuwaambia kama hawataki kuongea wanaenda kuwarudisha walikotoka,ndipo jamaa wakaanza Lia Kwa nguvu Ile ya kiafrika hadi kugalagala chini 😁😁,Kuna mmoja huyo yeye akajifanya mlemavu hawezi Kutembea,ilifika sehemu hadi maafisa wakawa wanacheka 😁!

Jamaa wakawa wanasema "Ghana killing.........Ghana killing ......Ghana killing,we are not go back to Ghana,it's better you Brazilian Police kill us but we are not go back to Ghana"😂😂😂

Daaaah maisha haya,nikawa najiuliza mbona Brazil yenyewe pia siyo kuzuri sana kama Europe!

Ok but jamaa waliwekwa kwenye kundi la watu ambao ni wahamiaji.


AIRPORT SECURITY : ROME (ITALY)


Leo pia katika kutazama kipindi nikaona Kuna watu wawili (Mwanamke na Mwanaume) wakiwa wanakaguliwa Pasipoti zao na kuulizwa maswali kadhaa na watu wa customs pamoja na maafisa usalama!

Yule jamaa na demu baada ya kukaguliwa walionekana wako sawa kwenye documents zao ila maafisa walipata shaka baada ya kuulizwa hapo Italy wamekuja kufanya ishu gani,Jamaa ambaye aliweza kuongea kiingereza kidogo alisema wameenda nchini Italy kupumzika na Kutembea kama watalii,nadhani maafisa hawakuridhika na maelezo hayo,ikabidi demu na mshikaji wapelekwe huko vyumba vya ukaguzi na kila mmoja akaingizwa kwenye chumba chake na kuanza kuhojiwa kivyake !

Baada ya kila mtu kuhojiwa kimpango wake,demu akasema mshikaji ni shemeji yake,na jamaa akasema demu ni mke wake kabisa wa ndoa!😁

Baada ya kubanwa na kukaziwa macho na maafisa,demu akasema mshikaji ni rafiki yake na mshikaji akasema demu ni Dada yake 😁

Nikawa najiuliza Hawa watu mpaka wanafanikiwa kupata visa ya Italy Ina maana hawakujua kunaweza kutokea maswali kama hayo?

Kwanini wasingekubaliana wakiwa bado AFRIKA kwamba wakiulizwa wasemeje?

Jamaa nikaona wameambiwa wanarudishwa walikotoka 😁

By the way ni kipindi ambacho huwa kinafundisha sana maana wanakamatwa watu kibao na drugs dealer ndo huwa kama wote!
Hujamuona yule Brazilian mjinga anasafiri na begi lina pajama nne tu! Jamaa kukagua pajama zimeloa liquid cocaine
Yaani unaenda kutembea nchi nyingine una pajama nne tu hata boxer huna.
 
Hujamuona yule Brazilian mjinga anasafiri na begi lina pajama nne tu! Jamaa kukagua pajama zimeloa liquid cocaine
Yaani unaenda kutembea nchi nyingine una pajama nne tu hata boxer huna.

Jamaa huwa wananichekesha kweli,yaani wanadakwa kirahisi mno!
 
Aahahahhahaa nimejikuta nachekea tumboni maana hapa nilipo siwezi cheka kwanguvu.

Mimi huwa niangalia hicho kipindi upande wa wanaokaguliwa mabegi ambapo wamebeba vyakula ambavyo nchi wanazoenda hawaruhusu hivyo vyakula.

Unakuta begi limejaa biringanya, nyanya chungu, samaki wakavu, dagaa wakavu, maembe Tanga, et al. Afisa usalama wanavipima kama having vimelea ambukizi Kisha wanaviharibu. Tons and tons ya vyakula huharibiwa kwenye port of entries.

Kuna nchi huwa wanaruhusu kuingia na vyakula ila kuna nchi wanaringa mbayaa, kama hutaki vyakula vyako viharibiwe wanakuridisha ulikotoka.

Ifike mahali watu wasome yanayohitajika kwenye nchi wanazoenda kabla ya kupanga safari.

Hiyo nchi inayoharibu sana vyakula ni Australia,jamaa hawana huruma kabisa wake!😁
 
Mimi huwa najiuliza wale wenye passport za nchi zingine huwa wanapitaje?.utakuta mtu ana passport ya Bongo na nchi nyingine.
 
Mimi huwa najiuliza wale wenye passport za nchi zingine huwa wanapitaje?.utakuta mtu ana passport ya Bongo na nchi nyingine.
Kwa huu mfumo wa E passport watu wanajilipua tu ila ukiweka violence kama una passport mbili wanakudaka sema Nchi nyingi za kuingia wakiona foleni hawatumii vidole vyako wanasoma taarifa kupitia passport yako hapo ndio inakua rahisi..
 
Sijawahi hata kivuka Namanga, ila hiki ndio huwa kipindi changu pendwa....mbeleni nitakuwa nasafiri kumzidi hata Mzee wa Msoga, kwakweli huwa najifunza mengi!
 
Napenda Ile channel ya discovery family channel, Kuna kIle kipindi Cha viwanda vidogo aisee mzungu ana jua Sana.

Kuna kIle Cha usalama wa nchi, wanacho tengeneza drone, nuclear interceptor ni 🔥 🔥.
 
Kwa huu mfumo wa E passport watu wanajilipua tu ila ukiweka violence kama una passport mbili wanakudaka sema Nchi nyingi za kuingia wakiona foleni hawatumii violence vyako wanasoma taarifa kupitia passport yako hapo ndio inakua rahisi..
Violence ni nini?
 
Mimi huwa najiuliza wale wenye passport za nchi zingine huwa wanapitaje?.utakuta mtu ana passport ya Bongo na nchi nyingine.
Hii Mifumo ya passport ya kuchanja ni rahisi kuidanganya kuliko mtu binafsi thus ukiwa na passport original lakini sio yako geti la passport linafunguka tu,
Hata e passport unaweza tumia passport ya hata ndugu yako geti linafungua tu haina uwezo wa kuditechn mmiliki halali wa passport hii ni weakness ya epassort system
 
Huwa ninapokuwa napata muda na nimepumzika mara nyingi huwa napenda kufuatilia kipindi kimoja kinaitwa AIRPORT SECURITY ambacho kinapatikana katika channel ya NATIONAL GEOGRAPHIC kutoka king'amuzi Cha Dstv

Kipindi hiki mara nyingi kinaangazia masuala ya usalama katika Viwanja tofauti tofauti vya ndege huko duniani

Leo nitaongelea matukio mawili ambayo yamefanya nikaandika huu Uzi

AIRPORT SECURITY : RIO de JANEIRO

Kuna jamaa walikuwa 6(Washikaji 4 na mademu 2) kutoka nchini Ghana walijilipua na kufika Airport ya hapo Rio de Janeiro nchini Brazil wakajifanya mabubu 😁

Maafisa wa usalama wamekomaa kweli kuongea na Washikaji ila jamaa wakawa hawafungui midomo (Bila shaka nadhani walikubaliana),baada ya maafisa kuwakomalia na kuwaambia kama hawataki kuongea wanaenda kuwarudisha walikotoka,ndipo jamaa wakaanza Lia Kwa nguvu Ile ya kiafrika hadi kugalagala chini 😁😁,Kuna mmoja huyo yeye akajifanya mlemavu hawezi Kutembea,ilifika sehemu hadi maafisa wakawa wanacheka 😁!

Jamaa wakawa wanasema "Ghana killing.........Ghana killing ......Ghana killing,we are not go back to Ghana,it's better you Brazilian Police kill us but we are not go back to Ghana"😂😂😂

Daaaah maisha haya,nikawa najiuliza mbona Brazil yenyewe pia siyo kuzuri sana kama Europe!

Ok but jamaa waliwekwa kwenye kundi la watu ambao ni wahamiaji.


AIRPORT SECURITY : ROME (ITALY)


Leo pia katika kutazama kipindi nikaona Kuna watu wawili (Mwanamke na Mwanaume) wakiwa wanakaguliwa Pasipoti zao na kuulizwa maswali kadhaa na watu wa customs pamoja na maafisa usalama!

Yule jamaa na demu baada ya kukaguliwa walionekana wako sawa kwenye documents zao ila maafisa walipata shaka baada ya kuulizwa hapo Italy wamekuja kufanya ishu gani,Jamaa ambaye aliweza kuongea kiingereza kidogo alisema wameenda nchini Italy kupumzika na Kutembea kama watalii,nadhani maafisa hawakuridhika na maelezo hayo,ikabidi demu na mshikaji wapelekwe huko vyumba vya ukaguzi na kila mmoja akaingizwa kwenye chumba chake na kuanza kuhojiwa kivyake !

Baada ya kila mtu kuhojiwa kimpango wake,demu akasema mshikaji ni shemeji yake,na jamaa akasema demu ni mke wake kabisa wa ndoa!😁

Baada ya kubanwa na kukaziwa macho na maafisa,demu akasema mshikaji ni rafiki yake na mshikaji akasema demu ni Dada yake 😁

Nikawa najiuliza Hawa watu mpaka wanafanikiwa kupata visa ya Italy Ina maana hawakujua kunaweza kutokea maswali kama hayo?

Kwanini wasingekubaliana wakiwa bado AFRIKA kwamba wakiulizwa wasemeje?

Jamaa nikaona wameambiwa wanarudishwa walikotoka 😁

By the way ni kipindi ambacho huwa kinafundisha sana maana wanakamatwa watu kibao na drugs dealer ndo huwa kama wote!
Mkuu hicho kipindi kinaitwa Border security!!
 
Back
Top Bottom