DeMostAdmired
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 1,579
- 3,798
Wakuu habari zenu?
Leo nitatoka mkoa jirani nilipo nitasogea Arusha kuchukua GITAA la garatoni ili niweze kuanza rasmi mafunzo ya gitaa. Nina ndoto toka zamani kuja kuwa mpiga vyombo vya muziki (mniombee niitimize).
Mwalimu nishampata lakini ni mzee yeye anapiga kwenye band moja hapa mjini sasa kanishauri nikanunue gitaa la garatoni kwasabab gitaa yeye hana anatumia electric ambalo ni la ofisini.
Naombeni mnijuze gitaa lipi ni zuri, vitu gani vya kuzingatia katika kufanya manunuzi ya kifaa hiki hata na picha mkiweka itakuwa poa zaidi na pia mnijuze accessories zake ili nisije nikanyimwa haki zangu za msingi kwenye package ya chombo hicho.
Ahsanteni!
Leo nitatoka mkoa jirani nilipo nitasogea Arusha kuchukua GITAA la garatoni ili niweze kuanza rasmi mafunzo ya gitaa. Nina ndoto toka zamani kuja kuwa mpiga vyombo vya muziki (mniombee niitimize).
Mwalimu nishampata lakini ni mzee yeye anapiga kwenye band moja hapa mjini sasa kanishauri nikanunue gitaa la garatoni kwasabab gitaa yeye hana anatumia electric ambalo ni la ofisini.
Naombeni mnijuze gitaa lipi ni zuri, vitu gani vya kuzingatia katika kufanya manunuzi ya kifaa hiki hata na picha mkiweka itakuwa poa zaidi na pia mnijuze accessories zake ili nisije nikanyimwa haki zangu za msingi kwenye package ya chombo hicho.
Ahsanteni!