NL kafanya jambo la mbolea sana!!! kinachotuponza watz ni uvivu kujishughulisha tujua ni nani tunaye mchagua atuwakilishe!!! If we could only dig a little deeper mbona tutaona mengi ya kutisha!!!!
...😀hivi kondoo ukilala nae mtamu?
Mambo ya JF hayo mkuu!Next Level, really ur Next Level, UNATISHA!
Yeeeh men....we need to stop this, if we can!Je hii ndiyo type ya Wabunge wetu? Maana yasemekana ma-CD wa Dar na Moro huwa wanahamia Dom wakati wa vikao vya Bunge...
Nasikia kapata H1N1 ghafla...... ha!ha!ha!haaaa.Vp Mbunge mtarajiwa, una la kusema?
.Ila kwa nchi hii (miTanzania jinsi tulivyo) usishangae hiyo CV ya ngono ya Mgombea Ubunge ikawa ni sifa positive kwa wapiga kura, au at least si kitu kibaya
.....Yeeeaah tulivyorogwa, usikute hii kawa sifa tosha......arrrgrrrr...!
Loud pleeeeeeeeeease!Matokeo yake kichwa kidogo ndicho kinaongoza katika kutoa maamuzi...!
Whats happening here?
Jamaa anatania eti anakwenda kugombea ubunge!!!!!!
Hahaha! Ngoja nicheke kidogo! Hahahaha! Utani siyo?
Unakumbuka eeeeh? huyu wakulinganisha na wapwa kweli? please KIMATIRE mchango wako hapa!Huyu si ndo alikuwa anasema sisi watu wa vijiweni huyu?
NL kafanya jambo la mbolea sana!!! kinachotuponza watz ni uvivu kujishughulisha tujua ni nani tunaye mchagua atuwakilishe!!! If we could only dig a little deeper mbona tutaona mengi ya kutisha!!!!
Tatizo kautafutia sehemu mbaya! Kajipaka mavi ya kuku usoni!Kwa jinsi nilivyocheck there is no way he is serious may be anatafuta umaarufu (popularity) humu JF!!!!
Sema jina lako ni nani labda tunaweza kukuunga mkono kuliko mkuficha mambo kama hivi
here we go......huyu ndiye mbunge wenu mtarajiwa.........! Lols kura yangu hata kwa mtutu hapati huyu........!
mgombea ubunge
mgombea ubunge has no status.
jf senior expert member
join date: Fri nov 2009
posts: 384
thanks: 20
thanked 148 times in 96 posts
rep power: 21
re: Mara ya kwanza!
hakuna lessoni yoyote hapo,
huo ni mtiririko kama wa proposal ya kuombea fedha kwa wafadhiri, lakini hali halisi ni tofauti, wengine hushindwa hata kuingiza siku ya kwanza kwa hofu, ushahidi upo wa kutosha kuwa wengine hata joto la mwili hupanda, na hata kifaa kinaweza kulegea kazi ikashindikana, baadhi ya bikira hutoa harufu ambayo wengine huita mbaya wengine huita manukato ya bikira kwa sababu ya hofu, hivyo ni mchakato tata kidogo unaohusisha saikolojia ya mtu.
ukitumia kondom ndio kabisaaaa unakimbiza hisia! ukikaribisha mawazo yanayohusu ukimwi umeua kifaaa moja kwa moja, labda ujaribu tena siku nyingine............
mimi nimewahi kukamua mtu nne siku ya kwanza tu na kati ya hizo nne, moja ilikuwa bikira, nyingine tatu used, kuna kama nane hivi nimekamua siku ya pili tu ya kukutana nazo, kati ya hizo mbili bikira na sita used, ......etc,bikira iliyonisumbua kufungua maishani mwangu ilichukua wiki tatu, na moja ilihama kabla sijaifungua hivyo nikawa nimechemsha!!!!!!!!! bikira ya mwisho nimefungua miezi 14 iliyopita, lakini sasa nafikiria kustaafu kunyemelea bikira kwani sometimes ni risk
sorry mbunge.....unatia kinyaaa kwa kweli! One day unakamua nane? Jamani....wewe hata king mswati hakufikii....then unataka ubunge?
Tena bado ile ya kumjengea nyumba kimada wako kule kisukuru....waifu wako haijui hiyo.......! Ukipewa madaraka, lazima lazima uyafuje wewe.......! Please id yako na useme wapi unataka kugombea tuzuia hii disaster!
jamani jamani jamani mbunge wetu kumbe ni mwaribifu kiasi hiki haki anaenda kutuharibia watoto wetu kwenye kampeni zake
FL, pale mwanzoni nilikuona ulitaka kuingia mkenge na weye.......ha!ha!haaaa...nkakungalia tu.....meona ss? mhishimiwa huyo?
Mgombea Ubunge Upo Wapi? Kuna hoja za haja hapa kabla hata hujaenda huko jimboni. Najua unaisoma!
alikuwa kalala ? kwa trend hii ataweza mng'oa babaa wa anne kilango?