here we go......huyu ndiye mbunge wenu mtarajiwa.........! Lols kura yangu hata kwa mtutu hapati huyu........!
mgombea ubunge
mgombea ubunge
has no status.
jf senior expert member
join date: Fri nov 2009
posts: 384
thanks: 20
thanked 148 times in 96 posts
rep power: 21
re: Mara ya kwanza!
hakuna lessoni yoyote hapo,
huo ni mtiririko kama wa proposal ya kuombea fedha kwa wafadhiri, lakini hali halisi ni tofauti, wengine hushindwa hata kuingiza siku ya kwanza kwa hofu, ushahidi upo wa kutosha kuwa wengine hata joto la mwili hupanda, na hata kifaa kinaweza kulegea kazi ikashindikana, baadhi ya bikira hutoa harufu ambayo wengine huita mbaya wengine huita manukato ya bikira kwa sababu ya hofu, hivyo ni mchakato tata kidogo unaohusisha saikolojia ya mtu.
ukitumia kondom ndio kabisaaaa unakimbiza hisia! ukikaribisha mawazo yanayohusu ukimwi umeua kifaaa moja kwa moja, labda ujaribu tena siku nyingine............
mimi nimewahi kukamua mtu nne siku ya kwanza tu na kati ya hizo nne, moja ilikuwa bikira, nyingine tatu used, kuna kama nane hivi nimekamua siku ya pili tu ya kukutana nazo, kati ya hizo mbili bikira na sita used, ......etc,
bikira iliyonisumbua kufungua maishani mwangu ilichukua wiki tatu, na moja ilihama kabla sijaifungua hivyo nikawa nimechemsha!!!!!!!!! bikira ya mwisho nimefungua miezi 14 iliyopita, lakini sasa nafikiria kustaafu kunyemelea bikira kwani sometimes ni risk
sorry mbunge.....unatia kinyaaa kwa kweli! One day unakamua nane? Jamani....wewe hata king mswati hakufikii....then unataka ubunge?
Tena bado ile ya kumjengea nyumba kimada wako kule kisukuru....waifu wako haijui hiyo.......! Ukipewa madaraka, lazima lazima uyafuje wewe.......! Please id yako na useme wapi unataka kugombea tuzuia hii disaster!