Naenda jimboni... Nitawamiss sana

You are not serious, unasema takrima ni mambo ya kawaida wakati inapingwa vikali, ukiambiwa utaviharibu vibinti unasema hayo ni ya kawaida tu kwa wa-Afrika, ninavyokuona mimi kupitia majibu yako nakushauri bora utafute kazi nyingine ya kufanya kuliko kupoteza muda kugombea ubunge.
 

umenielewa vibaya

ya kawaida si kuharibu vibinti, bali kufadhiliwa malazi!
 
Kutokana na ratiba yangu kuwa ngumu katika kipindi hiki, ni wazi sitaweza kuwa na muda mwingi ndani ya JF halikadhalka nikiwa jimbon siaweza kupata connection ya uhakika ya internet na hivyo nitawamiss sana wapendwa.
.
Kama ni ratiba its ok.Kwa vile uko nchi za watu, labda hujajua Tanzania mitandao imeenea nchi nzima with 3G with HSDPA USB Moderm. Nunua laptop ya Sony Vaio TX - up to seven hours. 11.1" widescreen na extra battery, Au nunua Lenovo ThinkPad X60s battery life masaa 8 au funga kazi na Laptop mpya ya IBM Masaa 12!, we won't miss you.

Karibu Uwanjani.
 
sijaona hoja yake kwani kama anaenda kugombea angeweka jina wazi ili kama ni watu waanze ama kumsaidia au kumpa mbinu, sasa jina hana analeta hoja gani hapa?
Atawekaje jina wakati kuna kashfa nzito namna hii juu yake, hapaswi kabisa kutoa jina lake,itakuwa ni kujimaliza kabla ya kuanza.
 

Hapo kwenye Red na Blue: Unamaanisha hata hapa bado unatumia jina bandia kwa lengo la kufikisha ujumbe uliokusudiwa na 'Muhusika meingine na siyo wewe'? Nikimaanisha kwamba siyo wewe unayetaka kugombea ubunge, bali ni Muhusika mwingine ila wewe umetumia mbinu/mtindo wa uandishi kuonyesha kama vile ni wewe unataka kugombea ubunge? Au hapa sasa upo serious, ni wewe unataka kugombea huo ubunge na hakuna ule mtindo wa uandishi?

kazi ipo.

 

Given kile unachodai kuwa ni kuuvaa uhusika,Mh. sana mgombea ubunge,kukuombea uzima ni dhambi.Sorry.
 

nashukuru pasco kwa ushauri wako mzuri, nitajitahidi kuzingatia.

labda kwa wale wasiojua vizuri mambo ya siasa, kazi ya kugombea si rahisi hata idogo, inahitaji mikakati na mbinu za hali ya juu na za muda mrefu. muhimu ni "kutaka" unachogombea kwa dhati na uonyeshe kuwa unataka. wababishaji hawatakiwi kwani watashindwa vibaya sana kabla hata hawajaanza. kumbuka pia kuwa wako wengi wanaotaka na baadhi wana nguvu kubwa zaidi.

kwa wale wanaotaka niweke wazi jina na jimbo ninalokwenda, nafikiri kwa sasa si muafaka kwani huwezi kumjua mshindani wako ana mbinu gani. huenda hata wakawa hawa wenzetu walioamua kupindisha ukweli hapa jamvini kwa lengo la kunikatisha tamaa.

lizy namshauri asome vizuri kila hoja na sio kila neno. nasikitika kuwa watu wanasoma zaidi maneno kuliko hoja. ni hatari sana.

mwisho kabisa narudia tena kuwa nitawamiss sana wanaJF wote na hatimaye nitarejea tena hapa jamvini kwashukuru wote nikiwa mshindi.

Mungu ibariki tanzania,

asanteni sana kwa kunisoma na kunichangia
 
Mkuu tumekosoma, ila usije ukawa unaenda bungeni kujinufaisha wewe mwenyewe na siyo kuwatumikia wananchi.

Wengi sasa hvi wameshafanya ubunge kama ni kazi (ajira) badala ya wito sasa usije ukawa kundi la watu kama hawa.

Mwisho nakutakia mafanikio mema upite - ila hicho chama chenu bado kinanuka rushwa sasa sijui ukifika bungeni utatusaidia vipi sisi wananchi wadanganyika?

kumbuka usitoe ahadi ambazo hutaweza kusitekeleza ukiwa huko jimboni kwako.
 
So unataka tuamini kuwa hata hii ya kugombea ubunge si kauli yako, ila umevaa uhusika wa mtu fulani aliyepo ughaibuni !!
 
So unataka tuamini kuwa hata hii ya kugombea ubunge si kauli yako, ila umevaa uhusika wa mtu fulani aliyepo ughaibuni !!

Sinkala the dude called mgombea ubunge is not serious... analeata hekaya humu basi!!!
 

Ushinde wewe?
Ukishinda wewe mi ntaomba permanent ban hapa JF.
 
Kumbe mambo haya yanachekesha eeeeh?

You must have totally lost your mind brother!

Kiongozi nimekukubali. Huyu jamaa umemng'ang'ania kama ruba.
Jioni nitafute pale kwa ankal. Kuna bia kadhaa za baridi unanidai pale.
 
 
Asante MU. Nenda nasi twaja. Tutakutana kilingeni. Sisi huku vijijini tulishaanza siku nyingi kampeni na hatuama jf kwa sababu hiyo. Tutaendelea kuja jf na kampeni kama kawaida. Vijiji vya kwetu mtandao kama kawaida, kwenu hakuna hata mtandao? Na bado mnafanya nini huko sisi m?
 
Kumbe mambo haya yanachekesha eeeeh?

You must have totally lost your mind brother!

Mzee wa docebit... yaani kama nakuona ulivyomaind huyu dude!!! Inawezekana kabisa anaandika ka-study au assignment ya sociaology huko alipo na hapa ndio venyu ya kupata respondents badala ya questionnaires

Mpotezee aisee

Amani Omnia
 
mzee wa docebit... Yaani kama nakuona ulivyomaind huyu dude!!! Inawezekana kabisa anaandika ka-study au assignment ya sociaology huko alipo na hapa ndio venyu ya kupata respondents badala ya questionnaires
hahahahaha
 
Kumbe mambo haya yanachekesha eeeeh?

You must have totally lost your mind brother!

doing the right thing at the wrong place and time pia ni tatizo!!!! hapo kweli tuseme lipi lililomfurahisha???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…